DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,086
- 45,748
Yes, kuwa chawa sio tatizo Mkuuiv una fahamu kwamba kwenye maisha kuna watu wamefanya kila walichotakiwa kukifanya na hawajafanikiwa? Kuna vijana wana elimu nzuri na wamejaribu kila kitu ila haijawa chochote. So naamini hakuna mtu mwenye juhudi kubwa kwenye nchi hii kumzidi muendesha guta, ila matokeo ya kiuchumi je? ๐๐
Yacobo alienda kua chawa kwa miaka 14 kwa mjomba wake Rabani ndio akatoboa.