😀😀😀Muombe akukopeshe milioni 10 akikataa nawe mnyime papuchi,baada ya muda kupita mtabaki marafiki japokuwa naye atamind kiaina.
Sasa binti haja zako za mwili nani atakuwa anakutoa?
what
if nikaja miaka ya baadae nikakutana nae alaf yy ndo akawa ndio wa kunisaidia alaf uku nilimuacha kwa ubaya?
N A K A Z I A [emoji375]Huh typical women, hivi kwann mnakuwa mna hio tabia, it's very frustrating....kama humtaki mtu si umwambie tuu yaishe, hayo mambo ya kuwa friends ni unafiki mtupu, you just want to take advantage of him kwa sababu unajua ana mapenzi ya dhati na ww, kwaio kwako itakuwa ni advantage kwa sababu ukimuomba akufanyie baadhi ya vitu atakuwa yuko mwepesi sana kukufanyia kwa sababu kweny akili yake anaona kama "labda nikimsaidia atani consider au anaweza akanipenda zaidi nikapata nafasi kwake" but kitu ambacho hajui ni kwamba anachofikiria ni nonsense kwa sababu humpendi na hana nafasi kweny moyo wako unampenda mtu mwingine na hutaki kumwambia, unamtumia tuu, umemuweka kweny position ambayo hujamwambia kama unampenda au humpendi, jamaa yupo hopeless tuu haelewi position yake kwa ww hujamweka wazi, unataka aendelee kuzubaa hivohivo uendelee kumtumia kwa sababu unajua ukimwambia ukweli ata move on na itakuwa ngumu sana kwako to ask him for simple favors.
Wanaume wengi tunafanyia hichi kitu na wengi wao wanakubali kwasababu hawajui tricks ambazo wanawake wanazotufanyia bila sisi kujua.
Unachojaribu kusema ni kwamba unataka jamaa awe plan "B" kwa sababu maybe unaona kuna future kwake au maybe unaona hamna future kwa unaempenda.
Kwann usimwamini unaempenda, unataka mambo yakifeli huku uamie kwingine?
Kama humpendi bac leave the at peace, mwambie ukweli aendelee na maisha yake.
Men, if a woman doesn't love you the same way as you love her, don't be her friend, she will just take you as leverage.
mimi sipo nae kwenye mahusiano , na ata siwezi kumwambia kuwa tabia yako fulani ndo inanifanya nisikukubali so badilika iyo hapana kwakweli.Unapaswa kuwa muwazi kwake kama kuna vitu unaona huvipendi na havina afya kwenye mahusiano ni vema ukamuambia kuwa hiii hapana. Hivyo akiendelea kuvifanya ilihali ulishamuweka wazi. Basi unajipa nafasi nzuri.
Pia kabla ya kuingia kwenye mahusiano ni vema watu wakajipa muda wa kufahamiana.
Kwa changamoto hiyo busara ni kuongea naye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetoa ushauri huo kama mpo mahusiano. Mfano mwenzako anatabia ya kutoka na kila mwanamke,,,hutaweza kumwambia tabia hii hapana,,kuna maradhi kuna changamoto nyingi zitaketwa na tabia hiyo.mimi sipo nae kwenye mahusiano , na ata siwezi kumwambia kuwa tabia yako fulani ndo inanifanya nisikukubali so badilika iyo hapana kwakweli.
ni rafiki yangu tu na sijawahi kuwa nae kwenye mahusianoKauli yako inaonyesha tayari uko nae, na kama uko nae uliwezaje kua nae ilihali hukumpenda? Yaani kizazi cha kike cha 24yrs mna shida kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa dearSikuzote ukweli humuweka mtu huru!
Mchane ukweli tu hata akiumia ataumua kwa muda then atakua sawa na utakua umemsaidia kuliko kuigiza!
Au just mute no message no Call no anything kama ni wa kujiongeza atajiongeza tu kuwa hii imeenda!!
🤣🤣🤣Kibane bane mwisho kiliwe na nyenyere
Sasa si upite pembeni, humpendi na ni kitu Kiko ndani yako, then hili kweli unataka ushauri jf? Kweli? Humpendi basi achana na kila kinacho mhusu kisije kwako, na upite pembeni uendeleeni rafiki yangu tu na sijawahi kuwa nae kwenye mahusiano
Unajiita STRONG AND FEARLESS halafu unaomba msaada kwa issue za kitoto kama hivi!!???Hivi namkataaje mwanaume ambaye simpendi na sioni future nae bila kum-offend asikasirike, na nataka nibaki kuwa nae friends tu cause siwezi jua the future anaweza kuwa msaada wa mambo mengine (sio mapenzi)?
Naombeni ushauri......
Daaah mwana anaenda kuvurugwa akili soon. Kipindi sijajipata trips za hapa na pale, hela za kutosha bank na chini ya driver seat. Nilipitia haya mateso.
Demu tu out of nowhere ananiambia haoni future na mimi, nimemaliza chuo, sielewi. Kuna kagari kamzee, demu namtoa ofisi niliyo mtafutia kazi mwenyewe, nampeleka kwao. Na gari ya baba. Kidume nimekaza miaka miwili sina kazi, nalala tu ndani. Demu anakuja kuniambia hivo. Niliumia mwaka mzima.
From there it was a story. Hajaolewa , hana kazi ya maaana. Na habari zangu anazo.
Binti humtaki jamaa jipange umpe sababu ya maana. Yaani go and please him that you have to move on. Usimuache kwenye mataa, ili sasa akuone ww ni mtu mwenye akili kama binadamu.
Else wise Ntakupa laana hata mimi.
🤣🤣🤣🤣🤣 Ndio nyie wanawake mpo hivyo wengi wenuAna hela
Haoni future nae
Hampendi
Hataki kumkasirisha
Badae anaweza kuwa msaada
Tuliosoma Cuba tumeelewa
[emoji3][emoji3][emoji3] kwanza kuachana kwa amani hainogi.Kuna tofauti gani kati ya kuachwa kwa uzuri au kuachwa kwa ubaya?!
Demu akinipiga chini uadui unaanza hapo hapo..! Asinizoee tena