Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,760
- 209,131
Sijapenda š„¹Ndio hivyo
Sijapenda š„¹Ndio hivyo
Mpanulie tuu Wala hatokasirikaHivi namkataaje mwanaume ambaye simpendi na sioni future nae bila kum-offend asikasirike, na nataka nibaki kuwa nae friends tu cause siwezi jua the future anaweza kuwa msaada wa mambo mengine (sio mapenzi)?
Naombeni ushauri......
Ulifanya kosa la kuanza naye mapenzi kabla hamjawa marafiki. Sasa hivi itakuwa ngumu sana kumwambia chochote akaelewa na bado mkabaki kuwa marafiki. Hii wanaweza wazungu ila siyo waafrika hasa wabongo. Njia sahihi ni kuchana naye mazima.Hivi namkataaje mwanaume ambaye simpendi na sioni future nae bila kum-offend asikasirike, na nataka nibaki kuwa nae friends tu cause siwezi jua the future anaweza kuwa msaada wa mambo mengine (sio mapenzi)?
Naombeni ushauri......
Kasheshešš pita hiviii
PoleeSijapenda š„¹
Kesho ni lini? šššMuite kwa jina lakeā¦
Kisha mwambie.. I see no future btn me and you. Hayo mambo ya hujui kesho ni nini, em tulia. Kesho ni Alhamis.
Simple as that.
Usijichekeleshe na emoj.
Unataka umweke friendzone ili aje kuwa a shoulder to cry on mkizinguana na uumpendayenibaki kuwa nae friends tu
You are strong and fearless but you are already in fear to lose him, usimuache learn to love him mtafika mbaliHivi namkataaje mwanaume ambaye simpendi na sioni future nae bila kum-offend asikasirike, na nataka nibaki kuwa nae friends tu cause siwezi jua the future anaweza kuwa msaada wa mambo mengine (sio mapenzi)?
Naombeni ushauri......
Kumuacha tu tayari umesha muoffend, unataka utumie lugha gani tena kuweka sawa,ndo namwambiaje bila kum offend?
sio ivo sitaki kutengeneza uadui mwisho wa siku mkutane njiani tushindwe kusalimianaYeye humpend ila hutaki kukaa nae mbali kwakua siku ukipigika yeye aku save... huu uchoyo sio wa nchi hii!!.
Ai mkatae tu kila mtu atembee na njia yake?
Kabla ya kufanya hilo jambo, kaa sehemu tulivu kisha jiambie. " Mimi ni mbinafsi"ndo namwambiaje bila kum offend?
sijamuonjaBaada ya kumuonja baba wa watu umekuta anogi nazi et unaomba ushauri umuache.
atakuroga shauri yako
mimi sio binadamu wa hivyoMchane ukweli.. ajue ye mwenyewe anakukasirikia ama laa
iam ila i have a good heartBasi hustahili kuwa na jina hilo "strong & fearless".
-Kaveli-