Namkataaje mwanaume nisiempenda?

Namkataaje mwanaume nisiempenda?

Kama ni hivyo we muambie tu ukweli, hamtakuwa maadui.

Ila kama unaendelea kusisitiza basi jukwaani humu tutaamini ya kuwa kuna kitu unakipata kutoka kwake, inawezekana sio pesa ila attention pia ndo maana unaona ugumu kumuacha, hutaki hasara.

We kuwa tayari tu kuishi bila yeye, kwakuwa utamwambia ukweli, muda si muda ataumia ila atakaa sawa.

Mimi sitaki anichukie tu
 
What happens to forever till death do us part swtieee?Kama ulikubali mwanzo Sasa unataka umwachie nae huyo boya mwenzio kazana mapenzi sio masihara.
 
Hapana mkuu unakosea. Kama humpendi mtu mweleze ukweli tu then akiendelea na usumbufu baada ya hapo unaeza lima block kumsaidia akusahau.
Sio busara kumwambia mtu eti sikupendi,hiyo kitu inaumiza sana moyo..Bora mawasiliano yapoe taratibu atazoea.
 
Binafsi kabla ya kutoa ushauri labda niulize hujaona future kwake kwa muktadha upi?
Umekuwa kwenye mahusiano naye na unaina dalili hazisomi? Au ameomba kuwa kwenye mahusiano ndo unataka kuamkataa?

Na je ni kwasababu mambo yake hayajakaa sawa anajitafuta ? Au mambo yake yapo sawa ila bado anamaliza ujana..Ukitoa majibu hayo naweza jaribu kushauri kiti


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi kabla ya kutoa ushauri labda niulize hujaona future kwake kwa muktadha upi?
Umekuwa kwenye mahusiano naye na unaina dalili hazisomi? Au ameomba kuwa kwenye mahusiano ndo unataka kuamkataa?

Na je ni kwasababu mambo yake hayajakaa sawa anajitafuta ? Au mambo yake yapo sawa ila bado anamaliza ujana..Ukitoa majibu hayo naweza jaribu kushauri kiti


Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu nitag.
 
Binafsi kabla ya kutoa ushauri labda niulize hujaona future kwake kwa muktadha upi?
Umekuwa kwenye mahusiano naye na unaina dalili hazisomi? Au ameomba kuwa kwenye mahusiano ndo unataka kuamkataa?

Na je ni kwasababu mambo yake hayajakaa sawa anajitafuta ? Au mambo yake yapo sawa ila bado anamaliza ujana..Ukitoa majibu hayo naweza jaribu kushauri kiti


Sent using Jamii Forums mobile app

Mambo yako Sawa ila ujana unamsumbua
Yani we are not compatible
Sio yule mwanaume ninaemtaka mm in short so bora niwe nae friends tu he is funny though🥹[emoji23]
 
Ningefurahi kuliko kuwa kwenye mahusiano ambayo mwenzagu namtesa hanitaki,yupo na Mimi kinafiki
bana sio kwa namna hio... na wakat anampa namba alitegemea nin... We toa njia ambayo ni salama kwa uyo boy ili asjiskie vibaya... Bana wewe unatoa ushaur wa kumfanya akonde... welcome again...
 
Kutoweza kufanya maamuzi ndiko ushetani wenyewe huo....

Hivi shule hamkufundishwa KUJIAMINI?!!!

Desperate human beings....
 
...njia salama kabisa... Ni wewe msichana kupata kazi ya kutafuta msichana ambae ni pini zaid yako... Then fanya ufanyavyo uwakutanishe... Alaf after few days wivu unaanza... "imeisha iyo"
 
...njia salama kabisa... Ni wewe msichana kupata kazi ya kutafuta msichana ambae ni pini zaid yako... Then fanya ufanyavyo uwakutanishe... Alaf after few days wivu unaanza... "imeisha iyo"

Kama akikubali ntamtafutia tu
 
bana sio kwa namna hio... na wakat anampa namba alitegemea nin... We toa njia ambayo ni salama kwa uyo boy ili asjiskie vibaya... Bana wewe unatoa ushaur wa kumfanya akonde... welcome again...
Huo ndio ulikuwa ushauri wa Upendo yaani...Haya ngoja nimpe wa kumuumiza,awe anamuomba sana Hela bila kumpumzisha yaani mperampera...unaanza na gesi Imeisha,akisolve amwambie Kodi Imeisha,kabla hajalipa Kodi anajitafutatafuta amwambie mdogo wake kafukuzwa ada,hapo awe anamuomba Hela za kusukia na za chakula,halafu kabla hajakaa sawa shangazi afariki kijijini pamoja na mama ameze shoka.....hapo vipi mwamba atatoboa Kweli?apo lazima aage mashindano😁😁
 
Kama akikubali ntamtafutia tu
usimuulize...
we cha kufanya jitahidi ujue kama kakupendea :-
-figure,
-tabia, au
-upambanaji wako

then tafta mwanamke ambae unaona kakuzidi vyote...

note: USIMUULIZEEE...

Fanya kumfanya azoeane na uyo dada... "Kama utakuwa hutaki aumie lakn kama ulivosema awali"
 
Back
Top Bottom