Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,305
- 3,218
Baada ya kumuonja baba wa watu umekuta anogi nazi et unaomba ushauri umuache.
atakuroga shauri yako
atakuroga shauri yako
Anaweza akakubaliWe mghost tu, ila hatokubali muwe marafiki.
Huu ukweli nakupa.
haiwezekaniUnakuwa unampatia mara moja moja
Mchane ukweli.. ajue ye mwenyewe anakukasirikia ama laando namwambiaje bila kum offend?
sijawahi kumpaMnyime kabisa usimpee
Sema urafiki utapungua sana, hii itapelekwa huyu mdada aliwe kimasihara.Anaweza akakubali
Hee kuna hao marafiki mafisi
Dada atakuja kushtuka rafiki kamfanya lingine.
Yana muda basi, ushamkataa mwambie mwamba ukweli yaishe, mwanzo atajisikia vibaya lakini atapona.Hivi namkataaje mwanaume ambaye simpendi na sioni future nae bila kum-offend asikasirike, na nataka nibaki kuwa nae friends tu cause siwezi jua the future anaweza kuwa msaada wa mambo mengine (sio mapenzi)?
Naombeni ushauri......
Maokoto mzee yasingekupe demu asingejifikiria mara mbili kumtema mchizi botiNa kwanini unataka awe rafiki yako?
Au anakupa maokoto?
ku ghost mtu siwezi am not that kind of a person nataka niwe mkweli bila kum offendWe mghost tu, ila hatokubali muwe marafiki.
Huu ukweli nakupa.
Hata mimi naona ni maokoto.Maokoto mzee yasingekupe demu asingejifikiria mara mbili kumtema mchizi boti
if nikaja miaka ya baadae nikakutana nae alaf yy ndo akawa ndio wa kunisaidia alaf uku nilimuacha kwa ubaya?Muite kwa jina lake…
Kisha mwambie.. I see no future btn me and you. Hayo mambo ya hujui kesho ni nini, em tulia. Kesho ni Alhamis.
Simple as that.
Usijichekeleshe na emoj.
Kwanza tuelezee ukaribu wenu upoje.. itasaidia kukupa ushauri.ku ghost mtu siwezi am not that kind of a person nataka niwe mkweli bila kum offend
No usimwache kwa ubaya.what
if nikaja miaka ya baadae nikakutana nae alaf yy ndo akawa ndio wa kunisaidia alaf uku nilimuacha kwa ubaya?
Basi mwambie tu neno hili " Habari yako XXX, nataka nikuambie naomba tuachane(kama mko kwenye mahusiano) maana sikupendi na sijataka kukupotezea muda na sivutiwi na wewe".ku ghost mtu siwezi am not that kind of a person nataka niwe mkweli bila kum offend
Kabisa atuelezee .Kwanza tuelezee ukaribu wenu upoje.. itasaidia kukupa ushauri.
Tunaweza sema mchane ukweli, kumbe mlishavikutanisha. Eheee na mwamba alielewa show. Kununuwa kutakufuatia
Hakuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke bila kulana, labda awe shoggahaiwezekani
Tatizo wanawake wa siku hizi mko kama double agent.Hivi namkataaje mwanaume ambaye simpendi na sioni future nae bila kum-offend asikasirike, na nataka nibaki kuwa nae friends tu cause siwezi jua the future anaweza kuwa msaada wa mambo mengine (sio mapenzi)?
Naombeni ushauri......
HallelujahBasi mwambie tu neno hili " Habari yako XXX, nataka nikuambie naomba tuachane(kama mko kwenye mahusiano) maana sikupendi na sijataka kukupotezea muda na sivutiwi na wewe".
Tuma hii text WhatsApp ama normal text