Namiss sana huyu mtu msinishangae!!

Namiss sana huyu mtu msinishangae!!

Mmhhhh! Natamani ungekuwa mke wangu! I also wish mke wangu angeyasoma haya uliyoyaandika! Nawatakia kila la kheri katika ndoa yenu na Mungu awabariki saaaanaaa!
thanks ma bro
 
Kama ni msomaji wa JF hata kama ni member ni rahisi sana kuunganisha dots.

So natumaini atapata muda wa kuona upendo mkubwa wa sweetie wake.

My shem baba Klein, mimi naitwa Kaunga (sio Da Sophy) hope to know you in the near future ofcourse your sweetie akiniruhusu! Lol


Exactly Kaunga, ni rahisi sana kuusoma mwandiko wa umpendaee!
 
Last edited by a moderator:
Parokia haikosi Vigango ili kusaidia pale askofu anaposafiri nje ya parokia basi padri toka kwy kigango anakuja kushika nafasi hadi atakaporudi ikiwa ni pamoja na kuendesha misa plus kugawa sakramenti.

Tafuta Kigango dada kiongoze Parokia hadi mista atakaporudi.
 
Parokia haikosi Vigango ili kusaidia pale askofu anaposafiri nje ya parokia basi padri toka kwy kigango anakuja kushika nafasi hadi atakaporudi ikiwa ni pamoja na kuendesha misa plus kugawa sakramenti.

Tafuta Kigango dada kiongoze Parokia hadi mista atakaporudi.
nafkri mfano wako ni sawa lkn sio sahihi kwa application uliyoitoa
 
Daaaaah
Huu ni ushauri pekee ulio nao?

Parokia haikosi Vigango ili kusaidia pale askofu anaposafiri nje ya parokia basi padri toka kwy kigango anakuja kushika nafasi hadi atakaporudi ikiwa ni pamoja na kuendesha misa plus kugawa sakramenti.

Tafuta Kigango dada kiongoze Parokia hadi mista atakaporudi.
 
Hana issue yoyote na ticha; ticha aliamua kuwa 'the voice for the voiceless' tu.
Napenda kumcharua tu my friend gfsonwin, wote tukiwa nice to her itaboa bwana!

hahahahhahahh! swtlo Kaizer wala usipate hofu kabisaaaa huyu Da Sophy ni saizi yangu wala usipate hofu.
Kaunga nanitania tu huoni ananihoji Klein alizaliwa lini ilihali ndoa ina umri mdogo kuliko yeye?? akasahau kwamba sera ya kilimo kwanza ilianzia zamani za Mkapa??
 
Last edited by a moderator:
Da gfsonwin unaona hao wadogo zako wanavyomfanya mzabzab aonekane mbaya...!
 
Last edited by a moderator:
loya wangu Ruttashobolwa watu kama hawa unatakiwa kuwapotezea tu.
so far hata babu Dark City huwa anasemaga wakati ni ukuta so mwache aseme akikua ataacha


Mie sina tatizo naye kwa kweli...

Unaweza kuishi bila kuwa na mtu hata mmoja wa kukuchokoza??

Ngoja mie nimtafute mkubwa mwenzangu snowhite tufanye mahesabu ya harambee...

Naona mtu bado analia maumivu......bila tiba sahihi tunaweza kuongea lugha isiyotamanisha soon...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Mie sina tatizo naye kwa kweli...

Unaweza kuishi bila kuwa na mtu hata mmoja wa kukuchokoza??

Ngoja mie nimtafute mkubwa mwenzangu snowhite tufanye mahesabu ya harambee...

Naona mtu bado analia maumivu......bila tiba sahihi tunaweza kuongea lugha isiyotamanisha soon...

Babu DC!!
babu bana hii dawa yake haiwez patikana hapa bana
manake kila mwili unapoitikia vichocheo kazi inazidi kuwa ngumu na ng'ombe anakaribia kudondshwa kibla.
 
Hahahahahahaha
alaf umemuita Da Sophy hiivi unataka Kongosho avunjwe miguu?
hahahahhahahh! swtlo Kaizer wala usipate hofu kabisaaaa huyu Da Sophy ni saizi yangu wala usipate hofu.
Kaunga nanitania tu huoni ananihoji Klein alizaliwa lini ilihali ndoa ina umri mdogo kuliko yeye?? akasahau kwamba sera ya kilimo kwanza ilianzia zamani za Mkapa??
 
Last edited by a moderator:
Hahahah.
Kilimo kwanza, l like it!
hahahahhahahh! swtlo Kaizer wala usipate hofu kabisaaaa huyu Da Sophy ni saizi yangu wala usipate hofu.
Kaunga nanitania tu huoni ananihoji Klein alizaliwa lini ilihali ndoa ina umri mdogo kuliko yeye?? akasahau kwamba sera ya kilimo kwanza ilianzia zamani za Mkapa??
 
Last edited by a moderator:
Hahahah.
Kilimo kwanza, l like it!

mwali ukisema urasimishe kwanza inaweza isikulipe so una invest kwenye uzalishaji ndipo unarasimisha. hii ndio sera ya kiimo kwanza
 
Yaani umefanya nimuulize wife kama niyeye ameandika huu uzi kwani namimi nammisi sana kwani ni miaka zaidi ya miwili natafuta maisha nchi za watu na yeye analea watoto TZ

OOH I MISS HER TOOOOOOOO
 
Yaani umefanya nimuulize wife kama niyeye ameandika huu uzi kwani namimi nammisi sana kwani ni miaka zaidi ya miwili natafuta maisha nchi za watu na yeye analea watoto TZ

OOH I MISS HER TOOOOOOOO

kumbe hii ndi ID yako enh! nahukuru meseji imekuwa delivered
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom