Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,227
Ndo nani huyu?
ila anajua unamwita zombie??
khaaaaaaaaaaa! so baba sawa ila zombie hapana
ama kweli abiria chunga mzigo wako.
Nilijua tu lazima dirty mind yako uDO the needful! Sukutambulishi kwa Eiyer wewe, ngastuka!I know,uko so sweet, huwezi kumdhuru
Ila muwe makini, kiberiti na sheli au sumaki na vyuma bana huwa ni sawa na swala na mwanachui
Jamani, mwacheni ajilie vyake, kasotea sana ujue?
Miaka 7 si mchezo, yaani sasa hivi ananipika na kunipakua tu
Mie nimetulia tuli, kama mchele wa Kyela, anitie viungo haya, anile chukuchuku hewala
Hapa tuna kazi moja tu...moja tu..ya kupunguza wateja wa Mirembe...
Let's go....:focus:
Babu DC!!
Just to clear my honest friendly intention to show agape love unlike the other love. Au unaonaje?
amen mdida but umesahu kusema anipunguzie ya upweke,,,,,,,,,,,,yani upweke unaniua mwenzenu.
karibu kwangu kikubwa sina ila hata ugali wa bamia sikosi
Ndio maana kumbe The secretary ananisumbua kumbe ananitaka?Wamefulia hawa, hawana hata hela ya vocha waingie jf