Namiss sana huyu mtu msinishangae!!

Namiss sana huyu mtu msinishangae!!

Mwalimu gfsonwin, pole na hongera maana distance inaongeza upendo katika ndoa wakati ikipungua na upendo au kumissiana kunapungua. Sie tulionao beneti tunatamani hata wange safiri kidogo. Pole ni kwa ubinadamu na nadhani utayashinda majaribu.
mpendwa wangu usitaman kamwe maisha ya mume kuwa mashariki mke kuwa magharibi. jamani ni mabaya sana sana sana
yaani wala usiyaombe haya nakuambia. i doubt kama akirudi nitaweza tena kuwa smart kama nilivyokuwa b4 hajasafiri as nimesha zoea maisha ya kukaa peke ynagu.
 
Daaaaaa
zombie at work!

Jamani, mwacheni ajilie vyake, kasotea sana ujue?

Miaka 7 si mchezo, yaani sasa hivi ananipika na kunipakua tu

Mie nimetulia tuli, kama mchele wa Kyela, anitie viungo haya, anile chukuchuku hewala
 
To: gfsonwin
Mbarikiwe mdumu miaka mingine 11!

Anniversary-bears.jpg
 
Last edited by a moderator:
snowhite snowhite hebu kuja pandee hii fasta ja[po gfsonwin kakukataza, nitamalizana naye chumbani ila Kongosho ndo ivo usimchukulie lightly anasogeza magoli ivo! ohoooo
Kaizerrrrrrrrrrrrrrrrrr niii lakini!
ninilakini kunistua moka najikwaa!
nini kinaendelea kwani!
ati umesema Kongosho anasogeza goli?
lol!babu kapimia mita moja anakuta nne matokeo yake atafunga?
cc The Boss ndo mtaalam wa haya makitu aje haya apime hili goli limesogezwa au la.
 
Last edited by a moderator:
mpendwa wangu usitaman kamwe maisha ya mume kuwa mashariki mke kuwa magharibi. jamani ni mabaya sana sana sana
yaani wala usiyaombe haya nakuambia. i doubt kama akirudi nitaweza tena kuwa smart kama nilivyokuwa b4 hajasafiri as nimesha zoea maisha ya kukaa peke ynagu.
Bidada nakubalina nawe asilimia 100 kuwa akirudi, life will never be the same!! Ila usiombe kubanana hapa Bongo 24/7 ngumi si ngumi, ingawa zawadi ya chumbani kwa wingi n.k.
 
Jamani, mwacheni ajilie vyake, kasotea sana ujue?

Miaka 7 si mchezo, yaani sasa hivi ananipika na kunipakua tu

Mie nimetulia tuli, kama mchele wa Kyela, anitie viungo haya, anile chukuchuku hewala
KABAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAANG!
KUDADEKI!
unafanya masikhara na mzuio wa kujifanya hutaki!
sasa hizi tutaombwa ndimu humu!
saaaaasa hivi
SOOON AND VERE SOON!VEEEEERE SOOON
 
Hongera kwa kupenda na pole kwa upweke uctie shaka dada huyo n wako atarud2 just b cool muombee afya tele!
 
Aiseee hii thread sikuisoma kumbe kumbe mamito gfsonwin umemmiss mtu
 
Last edited by a moderator:
Bidada nakubalina nawe asilimia 100 kuwa akirudi, life will never be the same!! Ila usiombe kubanana hapa Bongo 24/7 ngumi si ngumi, ingawa zawadi ya chumbani kwa wingi n.k.

hahahhaahahahahah! lkn mimi nataman kabaisa hayo hayo kuliko ya upweke hivi.
 
Dada gfsonwin nimekupendaje leoooo...

Jamani all you married couples ebu tuleteeni stori kama hizi at least once in a while please na sisi tuliokata tamaa ya kuoa tushawishike. maana kina amu, Da Sophy, Wiyelele wanatukatisha tamaa kabisa.

Hata mzabzab akiiona hii anawesha kushawishika kuacha kugegeda ovyo na yeye akamtafuta gfsonwin wake atakae mmiss namna hii...

Otherwise dada yangu hapo kwenye ushauri wa da Kaunga wa ku-hug watu walio karibu naomba unapowazuru wengine usinipite tafadhali...

Me misses you so much n love u a lot! U truly r an inspiration...ila bado nipo nipo kwa muda!!!

#weNidtoTalk

mwe!!! the only woman i will ever trust is my mum. wengine kugegeda tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom