mwambie basi arudi kutuona jamaniiiiiii
Haya, nitamwambia ila ngoja kwanza amalizie kikao wana mazungumzo muhimu sana...............ila nimembip, akiwa tayari na kikao ataona ''missed call alert'' halafu atanipigia then nitamwambia....................ila amesema uangalie zile picha zenu za harusi kwenye albam, pale kuna ile picha anaoneka amefurahi sanaaaaaaa......halafu hio picha vuta vumbi km ina vumbi then weka juu ya kitanda........baadae ukiongea nae uangalie ile picha halafu kuna kitu atakwambia, hicho kitu utakipenda sana na utacheka sana........fanya hivyo eeehhhh usisahau!!!!!!!