Nambie kwanini mimi nisinywe pombe?

Nambie kwanini mimi nisinywe pombe?

World Health Organization (WHO)
Alcohol

World Health Organization (WHO)
Alcohol

World Health Organization (WHO)
No level of alcohol consumption is safe for our health

World Health Organization (WHO)
Alcohol
 

Attachments

  • images - 2025-08-15T193912.325.jpeg
    images - 2025-08-15T193912.325.jpeg
    38.7 KB · Views: 21
  • images - 2025-08-15T193846.811.jpeg
    images - 2025-08-15T193846.811.jpeg
    31.7 KB · Views: 22
  • images - 2025-08-15T193856.440.jpeg
    images - 2025-08-15T193856.440.jpeg
    28.7 KB · Views: 18
.
 

Attachments

  • images - 2025-08-15T193912.325.jpeg
    images - 2025-08-15T193912.325.jpeg
    38.7 KB · Views: 26
  • images - 2025-08-15T193856.440.jpeg
    images - 2025-08-15T193856.440.jpeg
    28.7 KB · Views: 20
Kwema wakuu

Nikiona mtu anamuambia mtu asinywe pombe namuona kama ana matatizo ya akili.

Hapo unakuta
1.Anakunywa Ernegy
2.Soda Pepsii Bariidi
3.Anapenda wanawake balaa
4.Anakula Gomba na Skanska

Mpumbavu wewe
Mkuu maisha ni yako, kwanini mtu akupangie namna ya kuishi?
 
Nimeiacha pombe zaidi ya 15 year Sasa , siwezi kuirudia, kupenda wanawake sio ulevi ni tabia, iyo tabia Ipo Kwa makundi yote wanao kunywa pombe na wasio kunywa pombe. Kwahiyo kutokunwa pombe hakumfanyi MTU kuwa Malaya.

Hata hivyo fanya kinachofurahisha moyo wako tusipangiane starehe.
 
Mpumbavu mwenyewe mkuu

Siku nyingine usituharibie jina la kitu yetu...ni SKANKA!!
Kuna mwanangu mi nilikua nakula lager yeye anakula hizo vitu.

Mimi nikila mambo yangu nachangamka yeye analala na kusizi kama teja vile.

Starehe hiyo niliishangaa kidogo au jamaa alikua addict??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom