Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 18,374
- 37,196
Milele aminaKesho jumuiya tutasali kwa Poor Brain awahi awashe mshumaa,
Wanajumuiya wa Thomas More, tuwahi
Tumsifu Yesu kristo
Hahahaha hatare sana mzee 😂 😂 lzm Koo lilainike
Kesho jumuiya tutasali pamojaMilele amina
Wafalme na ma champion 🏆 waote lazima wajipe BURUDANIIIHahahaha hatare sana mzee 😂 😂 lzm Koo lilainike
Makofi kwake 🤣🤣🤣Kuna mwanangu mmoja ameacha pombe saizi anakula ugoro
Lipa kodi mkuu bara bara hazijengwi kwa Fanta kubwa..Niko baa muda huu nakula ngano laini hapa!
Muhimu sana bruh, hakuna namnaWafalme na ma champion 🏆 waote lazima wajipe BURUDANIII
dah hawa jamaa wanaongoza kwa kuaibisha sare za kazi zao...... fikiri hapo ana silaha ana sare za kazi dah nomaWatuache na bia zetu.
View attachment 3442320
Wanaokunywa soda hawagongewi sio ??Kunywa pombe lkn usiwe na mke! Maana ipo siku utaleta mada kulialia unagongewa mkeo!
Na kaa kwa kutulia
Hahahaha Kuna watu wanaongea ili mradi kaongea tuu 😂Na kaa kwa kutulia
Kaka tufungue uzi tukutane memba tumchague na kiongozi , kwetu kutoke michongo ya pesa , ushauri kwa wale walio athirika na pombe na jinsi ya kunywa pombe kijanja 🤔Na kaa kwa kutulia
Kiaje mkuuHahahaha Kuna watu wanaongea ili mradi kaongea tuu 😂
Ulevi ni shetani mbaya sana he he heeee umenitesa... Vuta bangi sio pombeKwema wakuu
Nikiona mtu anamuambia mtu asinywe pombe namuona kama ana matatizo ya akili.
Hapo unakuta
1.Anakunywa Ernegy
2.Soda Pepsii Bariidi
3.Anapenda wanawake balaa
4.Anakula Gomba na Skanska
Mpumbavu wewe
Umekutesa wewe na sio wote bwashee ,kaa kwa kutulia huwenda kwa ukubwa wa ubongo wako hukupaswa tumia pombe🤔Ulevi ni shetani mbaya sana he he heeee umenitesa... Vuta bangi sio pombe