Nambie kwanini mimi nisinywe pombe?

Nambie kwanini mimi nisinywe pombe?

Umekutesa wewe na sio wote bwashee ,kaa kwa kutulia huwenda kwa ukubwa wa ubongo wako hukupaswa tumia pombe🤔
Oy tangu najitambua napiga gambe..nimeanza chekechea ubongo wangu unatisha kabisakwa pombe.... bwana wee wachana na chupa ni ushenzi kabisa uwiii

Imeumiza maisha yangu big time
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom