God is Dead
JF-Expert Member
- Jan 11, 2019
- 1,313
- 1,531
Mkuu tupo kwenye pori, unaweza kula au kunywa chochote, kinachokutatiza wewe ni joka la kimaadili, ipo siku nikipata wasaa nitakupatia simulizi ya joka...Mkuu acha mambo yako ya ukafiri hapa..
Unataka kunishawishi nile laana ambayo mungu kapiga marufuku
Shame on you
Did you even know how faith i have
Ni joka jeusi la kutisha, ukipambana nalo utakwisha,
Ana undugu na Sababu, mtu anampenda pia.
Sokwe mtu anapenda maneno kuliko anavyopenda asili yake,
Hata John alimzungumzia joka kwenye kitabu cha ufunuo, aliadhibiwa baada ya kumpa uhuru mnyama..
Hahahaha joka ni balaa.