Nambie kwanini mimi nisinywe pombe?

Nambie kwanini mimi nisinywe pombe?

Mkuu acha mambo yako ya ukafiri hapa..
Unataka kunishawishi nile laana ambayo mungu kapiga marufuku

Shame on you
Did you even know how faith i have
Mkuu tupo kwenye pori, unaweza kula au kunywa chochote, kinachokutatiza wewe ni joka la kimaadili, ipo siku nikipata wasaa nitakupatia simulizi ya joka...
Ni joka jeusi la kutisha, ukipambana nalo utakwisha,
Ana undugu na Sababu, mtu anampenda pia.

Sokwe mtu anapenda maneno kuliko anavyopenda asili yake,
Hata John alimzungumzia joka kwenye kitabu cha ufunuo, aliadhibiwa baada ya kumpa uhuru mnyama..


Hahahaha joka ni balaa.
 
Mkuu tupo kwenye pori, unaweza kula au kunywa chochote, kinachokutatiza wewe ni joka la kimaadili, ipo siku nikipata wasaa nitakupatia simulizi ya joka...
Ni joka jeusi la kutisha, ukipambana nalo utakwisha,
Ana undugu na Sababu, mtu anampenda pia.

Sokwe mtu anapenda maneno kuliko anavyopenda asili yake,
Hata John alimzungumzia joka kwenye kitabu cha ufunuo, aliadhibiwa baada ya kumpa uhuru mnyama..


Hahahaha joka ni balaa.
Yaan ukipata wasaa uniambie mimi kuhusu nyoka yote hayo ni kunishawishi mimi kula nguruwe... Kuwa seriously mkuu
 
Mkuu mimi sili kitimoto
Mkuu mimi pia sifanyi uchafu wa kimaumbile

Acha kusambaza mambo ya ajabu mi jilichosemq kitimoto ina dhambi kubwa kuliko ishunya kulana
Una matatizo we mla kitimoto poor brain kutwa kujificha,

Tulivyo onana last time hatukula kitimoto kwa Irene pale gongo la mboto ??

Ukanywa na kisungura sio wewe ??
 
Yaan ukipata wasaa uniambie mimi kuhusu nyoka yote hayo ni kunishawishi mimi kula nguruwe... Kuwa seriously mkuu
Sikushawishi ule nguruwe, lengo langu ni kukujulisha kuwa morality ni construct, it was invented, na sifa yake kuu ni masking, ukipata wasaa wa kujiuliza ni kwanini waislamu hawali nguruwe, ndani yake utakuta chuki dhidi ya nguruwe, na chuki ni hisia inayotoka pale tuu mhusika anapozidiwa nguvu, na huwa inamuumiza mlengwa na kumfanya dhaifu, ahsante
 
Sikushawishi ule nguruwe, lengo langu ni kukujulisha kuwa morality ni construct, it was invented, na sifa yake kuu ni masking, ukipata wasaa wa kujiuliza ni kwanini waislamu hawali nguruwe, ndani yake utakuta chuki dhidi ya nguruwe, na chuki ni hisia inayotoka pale tuu mhusika anapozidiwa nguvu, na huwa inamuumiza mlengwa na kumfanya dhaifu, ahsante
chuki ni hisia inayotoka pale tuu mhusika anapozidiwa nguvu, na huwa inamuumiza mlengwa na kumfanya dhaifu, ahsante....

Huu ujumbe leo naishi nao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom