Uchaguzi 2020 Namba 1: Wakala wa Tundu Lissu, David Jumbe akabidhiwa fomu ya kugombea Urais kupitia CHADEMA

Maswali kantu ila shetani hapendi kuulizwa maswali maana yye ndy hupanga kuharibu!!mi swali langu ni kama vyombo vya dola vilijua dereva ni mtu muhim katka kadhia ile kwann masaa hayo hawakumtiani hatiani asaidie upelelezi?
Dereva angepata vipi mchubuko wakati wahalifu walikua wanajua wanaye mtaka yuko seat ya abiria?

Halafu huwa wanahoji kwanini aliumia mguu wa kulia badala ya mguu wa kushoto.Lakini hawajiulizi ,wakati kiti kimelazwa je TL alilala chali au kifudi fudi? Kama alilala chali basi risasi zingeharibu mguu wa kushoto zaidi, lakini kama alilala kifudi fudi kuficha uso ndio maana mguu ulichakazwa wa kulia.

Dereva ,alikua hospital ya mkoa Dodoma,toka saa 7 mchana hadi saa 8 usiku wakati ndio TL anaondoshwa Dodoma,masaa 13 baada ya ajali, ina maana Uchunguzi ulikua haujaanza masaa 13 baada ya tukio, kama ulikua umeanza walianzia kwa nani wakati dereva ndiye mtu alikua na TL kabla ya ajali na wakati wa ajali?

Au ndio uchunguzi ulianzia kwenye uondoaji wa CCTV Camera kwenye eneo la tukio? Haya masuala yakikosa majibu duniani, majibu yake yatapatikana hata mbinguni!
 
Dereva angepata vipi mchubuko wakati wahalifu walikua wanajua wanaye mtaka yuko seat ya abiria?

Halafu huwa wanahoji kwanini aliumia mguu wa kulia badala ya mguu wa kushoto.Lakini hawajiulizi ,wakati kiti kimelazwa je TL alilala chali au kifudi fudi? Kama alilala chali basi risasi zingeharibu mguu wa kushoto zaidi, lakini kama alilala kifudi fudi kuficha uso ndio maana mguu ulichakazwa wa kulia.

Dereva ,alikua hospital ya mkoa Dodoma,toka saa 7 mchana hadi saa 8 usiku wakati ndio TL anaondoshwa Dodoma,masaa 13 baada ya ajali, ina maana Uchunguzi ulikua haujaanza masaa 13 baada ya tukio, kama ulikua umeanza walianzia kwa nani wakati dereva ndiye mtu alikua na TL kabla ya ajali na wakati wa ajali?

Au ndio uchunguzi ulianzia kwenye uondoaji wa CCTV Camera kwenye eneo la tukio? Haya masuala yakikosa majibu duniani, majibu yake yatapatikana hata mbinguni!
Haya ni maswali ambayo ni watu walio na akili timamu hujiuliza...
Mtu akiwa na akiliccm kiwango chake cha uelewa hushuka hasi ya 0 hivyo hubaki na empty head isiyoweza kufikiri zaidi ya viunu na vigelegele...
 
Threat nyingine kwa Lisu ni Team Membe ukiachana na hawa waliompiga risasi mchana kweupe kisha kumnyima stahiki zake na kumvua ubunge.

Mungu amlinde Tundu Lisu
😆Wabongo bwana Membe kivipi sasa,labda akagombee kupitia ACT, time hii hata wale wagombea wanaokatwa CCM kisha kutaka kupitia CDM hawana nafasi.
Membe mwondoe katika mbio za uchaguzi.
 
Maajabu ni pale mbunge alipotwangwa risasi kumi na nane,mchana kweupeee,harafu serikali hii ya ccm,
Polisi,TISS,na JWTZ,ikashindwa kuwakamata waharifu!!!hayo ndio maajabu!!
Tena makubwa sana.

Kila siku wanatuambia...serikali ina mkono mrefu....wanashindwa kuwakamata wahalifu waliotaka kumuua Lisu.

Wakubali kwamba..serikali yetu ni dhaifu,tena mikono yake ni mifupi na imelemaza hata kushindwa kuwabaini wahalifu.
 
Wabongo bwana Membe kivipi sasa,labda akagombee kupitia ACT, time hii hata wale wagombea wanaokatwa CCM kisha kutaka kupitia CDM hawana nafasi.
Membe mwondoe katika mbio za uchaguzi.
Soma uelewe kilicho andikwa, usisome kujibu

Hichi unachokisema sicho nilichomaanisha
 
Back
Top Bottom