Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Mbona unajishtukia?Kuna mtu akiona hizi picha au kusikia habari hizi, huko aliko anazidi kufura licha ya Tume kutokuwa huru.
Mbona unajishtukia?Kuna mtu akiona hizi picha au kusikia habari hizi, huko aliko anazidi kufura licha ya Tume kutokuwa huru.
Wafaa sana kuwa mganga bingwa wa ramli chonganishiKwa hiyo huyo wakala anaanza kuona lisu ndo anafaa, sasa siku mbowe nae akipita kuwa mgombea huyo jumbe hata msapoti mbowe kwa vile lisu ndo anafaa?
Mwambieni basi akubali tume huru35% 2015 na pamoja na kazi za NCCR-M. CUF. CHADEMA. TLD. (UKAWA). safari hii ni 23% au chini
Kura yangu Mimi, rafiki zangu na ndugu zangu zote kwa TunduMkurugenzi wa Uchaguzi CHADEMA(kulia), akimkabidhi Fomu ya Kuomba Uteuzi Kugombea Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, Wakala wa Mhe. Tundu Lissu, David Jumbe, leo Jumamosi 04/07/2020, Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni, Dar es Salaam.
View attachment 1497296
Haya pia ni maajabu makubwa kabisaUmesahau na dereva hakupata hata mchubuko na kumtorosha kabisa
Dereva angepata vipi mchubuko wakati wahalifu walikua wanajua wanaye mtaka yuko seat ya abiria?
Halafu huwa wanahoji kwanini aliumia mguu wa kulia badala ya mguu wa kushoto.Lakini hawajiulizi ,wakati kiti kimelazwa je TL alilala chali au kifudi fudi? Kama alilala chali basi risasi zingeharibu mguu wa kushoto zaidi, lakini kama alilala kifudi fudi kuficha uso ndio maana mguu ulichakazwa wa kulia.
Dereva ,alikua hospital ya mkoa Dodoma,toka saa 7 mchana hadi saa 8 usiku wakati ndio TL anaondoshwa Dodoma,masaa 13 baada ya ajali, ina maana Uchunguzi ulikua haujaanza masaa 13 baada ya tukio, kama ulikua umeanza walianzia kwa nani wakati dereva ndiye mtu alikua na TL kabla ya ajali na wakati wa ajali?
Au ndio uchunguzi ulianzia kwenye uondoaji wa CCTV Camera kwenye eneo la tukio? Haya masuala yakikosa majibu duniani, majibu yake yatapatikana hata mbinguni!
Moja ya mapungufu ya jukwaa hili ni kuruhusu watu wenye akili finyu kuwa wanachama.hakuna haja ya ulinzi! Mnyampaa tayari ameumia hana sifa za urais!! nani atampigia kura? wewe?
Mkuu ili kuwa aliliccm ni kujitoa ufahamuTofautisha suala la barua ya kuonesha au kutia nia na fomu ya kuteuliwa kugombea kwa niaba ya chama! Vilaza wengine bhana!
Unajua nini maana ya wakala?Uraisi una wakala!!!! Mtu haendi personally eeee hii Kali
Ile barua Lisu aliandika kuomba kuteuliwa Uraisi kazi yake ilikuwa Nini?
Haya ni maswali ambayo ni watu walio na akili timamu hujiuliza...Dereva angepata vipi mchubuko wakati wahalifu walikua wanajua wanaye mtaka yuko seat ya abiria?
Halafu huwa wanahoji kwanini aliumia mguu wa kulia badala ya mguu wa kushoto.Lakini hawajiulizi ,wakati kiti kimelazwa je TL alilala chali au kifudi fudi? Kama alilala chali basi risasi zingeharibu mguu wa kushoto zaidi, lakini kama alilala kifudi fudi kuficha uso ndio maana mguu ulichakazwa wa kulia.
Dereva ,alikua hospital ya mkoa Dodoma,toka saa 7 mchana hadi saa 8 usiku wakati ndio TL anaondoshwa Dodoma,masaa 13 baada ya ajali, ina maana Uchunguzi ulikua haujaanza masaa 13 baada ya tukio, kama ulikua umeanza walianzia kwa nani wakati dereva ndiye mtu alikua na TL kabla ya ajali na wakati wa ajali?
Au ndio uchunguzi ulianzia kwenye uondoaji wa CCTV Camera kwenye eneo la tukio? Haya masuala yakikosa majibu duniani, majibu yake yatapatikana hata mbinguni!
Kwa hiyo hata kuongoza nchi atakuwa na wakala?Utateseka sana!!!
Kwani mlichapisha fomu ngapi huko lumumba?Uraisi una wakala!!!! Mtu haendi personally eeee hii Kali
Ile barua Lisu aliandika kuomba kuteuliwa Uraisi kazi yake ilikuwa Nini?
Threat nyingine kwa Lisu ni Team Membe ukiachana na hawa waliompiga risasi mchana kweupe kisha kumnyima stahiki zake na kumvua ubunge.Huyu jamaa alindwe sana
😆Wabongo bwana Membe kivipi sasa,labda akagombee kupitia ACT, time hii hata wale wagombea wanaokatwa CCM kisha kutaka kupitia CDM hawana nafasi.Threat nyingine kwa Lisu ni Team Membe ukiachana na hawa waliompiga risasi mchana kweupe kisha kumnyima stahiki zake na kumvua ubunge.
Mungu amlinde Tundu Lisu
Tena makubwa sana.Maajabu ni pale mbunge alipotwangwa risasi kumi na nane,mchana kweupeee,harafu serikali hii ya ccm,
Polisi,TISS,na JWTZ,ikashindwa kuwakamata waharifu!!!hayo ndio maajabu!!
Soma uelewe kilicho andikwa, usisome kujibuWabongo bwana Membe kivipi sasa,labda akagombee kupitia ACT, time hii hata wale wagombea wanaokatwa CCM kisha kutaka kupitia CDM hawana nafasi.
Membe mwondoe katika mbio za uchaguzi.