Usapoti wako ni upi sasa mkuu?NASAPOTI UPINZANI ILA SIDHANI KAMA WAKO TAYARI KUONGOZA NCHI, LABDA MIAKA 20 IJAYO
Akimalizia atang'ang'ania tena huyu..Upinzani mwaka huu watulie tu Dokta amalizie awamu yake.
Cyprian Musiba ameapa kuwa lazima ampoteze Lissu akikanyaga ardhi ya TanzaniaHuyu jamaa alindwe sana
Ben Saanane mlimzika wapi ninyi umbwa? Usidhani watanzania hawafamu ukatili wa hii serikali ya kiimla iliyotapakaa damu za watu wasio na hatia.Kunywa maji kwanza sijui Kama walimuua!
Muulize mbowe atakujibu pia kuhusu chacha wangwe nyumbu weweBen Saanane mlimzika wapi ninyi umbwa? Usidhani watanzania hawafamu ukatili wa hii serikali ya kiimla iliyotapakaa damu za watu wasio na hatia.
dalili za mwanzo kabisa zinaonyesha keshafeli.Uraisi una wakala!!!! Mtu haendi personally eeee hii Kali
Ile barua Lisu aliandika kuomba kuteuliwa Uraisi kazi yake ilikuwa Nini?
Wapuuzi ninyi, mnahubiri demokrasia gani kwa kuchapisha fomu moja tu kugombea Mwenyekiti pekee?Muulize mbowe atakujibu pia kuhusu chacha wangwe nyumbu wewe
Hiyo serikali yako inayotawala kwa MKONO WA CHUMA ingemuacha tu akiendelea kutamba mitaani hadi muda huu? Hizo stori za namna hiyo muwe mnasimuliana huko na wajinga wenzio akina polepole, Kunguru we.Muulize mbowe atakujibu pia kuhusu chacha wangwe nyumbu wewe