noliega
Member
- Jul 6, 2017
- 68
- 29
Atakua alipata mashine sio mwanaume ,anyway uschoke dd ang andaa Uzi mwingine tutakujaaaaJaman we juzi unarukaruka umepata mwanaume mashine leo unalialia hapa unazingua sio siri
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakua alipata mashine sio mwanaume ,anyway uschoke dd ang andaa Uzi mwingine tutakujaaaaJaman we juzi unarukaruka umepata mwanaume mashine leo unalialia hapa unazingua sio siri
ohooo..... embu njoo pm nikuliwaze mmyWana JF,
Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.
Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.
Sitaki mwanaume kuanzia sasa
Wana JF,
Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.
Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.
Sitaki mwanaume kuanzia sasa
Hutaki mwanaume mwingine halafu unasema unatulia Mungu atakuleteaWana JF,
Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.
Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.
Sitaki mwanaume kuanzia sasa
Inakuwaje nyie watu wawili mcomment kitu kilichofanana? Au ndo hizo multiple id??"Mungu ataniletea"
"Sitaki mwanaume kuanzia sasa"
Sasa sijui huyo atakaemleta ni jinsia gan.
Sent using Jamii Forums mobile app
MUNGU ATANILETEA
SITAKI MWANAUME KUANZIA SASA
Kwahiyo Mungu atakuletea nini?
Mkuu unauliza fluid kyumani?
https://www.jamiiforums.com/threads/nafurahaa-ya-dhati-kupata-mwanaume-mashine-na
-mwenye-mapenzi-ya-dhati.1312633/
Bora kuwa malaya tu
Natafuta mwanaume wa kuniliwaza basi
Natafuta mchumba, Mungu akitujalia ndoa
Natafuta mchumba, Mungu akitujalia ndoa
Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu
Natafuta mchumba, Mungu akitujalia ndoa
Ndani ya miezi miwili threads lukuki za mlengo ule ule , nahisi siyo bahati mbaya kuna malengo yako unayatimiza