Nalia kama sio kutoa machozi, wanaume mkoje?

Nalia kama sio kutoa machozi, wanaume mkoje?

hutaki mwanaume kwanzia sasa alafu mungu atakuletea?

Tilia mama, punguza stress yatapita
 
Wana JF,

Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.

Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.

Sitaki mwanaume kuanzia sasa
Ukichoka kulia futa machozi maisha yaendelee
 
Wana JF,

Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.

Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.

Sitaki mwanaume kuanzia sasa
Pole sana kihuba...ukiona mapenzi yanakuchanganya tafuta pesa siku hizi wanawake na maendeleo muondoe huyo jinamizi kichwani kwako waza utaingiza VP pesa.....usikae kumuwazia ukapata ugonjwa wa moyo....
 
Wana JF,

Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.

Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.

Sitaki mwanaume kuanzia sasa



Anayetaka kutulia na Mungu huwa hatangazi JF anaelekea ktk nyumba za ibada.

JF sio nyumba ya ibada....
 
Wana JF,

Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.

Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.

Sitaki mwanaume kuanzia sasa
Kukata tamaa ni dhambi, halafu unakosea kusema hutaki mwanaume tena, endelea kupokea form za maombi na mwisho atatokea mwenye sifa cha msingi tuliza kichwa na utafakari vema maombi ya watu utagundua jambo la maana
 
Wana JF,

Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.

Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.

Sitaki mwanaume kuanzia sasa
Mungu ataniletea,sitaki tena mwanaume,mm sijaelewa.
 
Wana JF,

Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.

Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.

Sitaki mwanaume kuanzia sasa
Pole kwa kweli umeumia mbona hata husemi tatizo ni nn?
 
Wana JF,

Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.

Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.

Sitaki mwanaume kuanzia sasa
pole dear kihuba,, hayo maumivu hayasimuliki,, ila ukiamua yanavumilika
.......

don't love 2mch and trust 2mch.

,,,,hakuna bingwa wala mshindi ktk mapenz,,, mapenz bwn daaar , mkipendana wawili mtahisi mpo kwenye sayari ya pekee yenu,,. hakuna wanaopendana lakini,,,,!!!!!


SHIKAMOO MAPENZI.,,,,,,


NB: be strong dear,, siyo wote lkn,,,na inaumiza sana , anayeweza kustaili kukufuta machozi ndio anayesababisha ulie
 
Wana JF,

Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.

Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.

Sitaki mwanaume kuanzia sasa
Wewe ukisema sitaki wanaume wenzako wanavalishwa Pete madhabahuni na wanaume hao hao
 
Niwape mfano tu.

Nilikutana na mwanamke jeuri sana.

Anayetaka kunipangia kila nimfanyeye mama na yeye namfanyia.

Nilimnyoosha kwa nyundo.

Leo namuona binge la jike.

Kwa bahati mbaya namchapa mboo kinyama.

Nikimshika atanasema kila neno duniani LA mahaba.

Na ikawa adabu sana.
 
Ignore It..mapenz upuuz achana nayo pambana na hali yako wanaume hawana mana utapoteza mda bure shoga angu kumlilia mtu asie na mda na ww yy hapo yu biz na ampendae,piga moyo konde ukiamua hakuna kinachoshndkana say yes without you kila kitu kiko sawa hakuna kilichoharbika na itakua hvo.
 
Wana JF,

Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.

Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.

Sitaki mwanaume kuanzia sasa
dyudyu haikkwepeki mwaya jikaze ili uliwe kilaini,hicho kitumbua kisipoliwa kwa muda mrefu akili zinahalibika
 
Back
Top Bottom