Nalia kama sio kutoa machozi, wanaume mkoje?

Nalia kama sio kutoa machozi, wanaume mkoje?

Jamani jf ya enzi zetu ilikua ya kiutu uzima haya mafuriko ya tecno ni shidaa
 
Nilie mpata haeleweki wana jf kabadilika gafra hivi nina nini mie jamani kihuba
Hapa nalia tu duhuuuuuuuuuuuuuuu

Kweli wanaume pasua kichwa
Nimechoka sasa wacha nitulie tu mungu ataniletea jamani

Sitaki mwanaume kuanzia sasa

Nini tena bby mbona wanaume wazuri na wapole nipo!!!! Pole sana!!! Hebu ni PM.
 
Pole sana....hao ndio binaadam kamwe huwezi kumaliza kujifunza tabia za binaadam...mbaya zaidi kila mtu ana tabia yake
 
Sikiliza wimbo wa Seduce me, nmesikia wanataja pasua kichwa humo

Nawe jichunguze aisee, binadam tuna mapungufu mengi sana...unaweza kuta jamaa anajipinda kukununulia kila kitu anakuwekea ndani alafu wewe unampatia shoga wako kwa urahisi tu...jasho la mumeo. Jichunguze kwanza, nasi huwa tunasema wanawake pasua kichwa "seduce me"
 
Jichunguze kwanza mwenyewe, una matatizo ww
 
have funny usiogope kubadilisha wanaume eti utaonekana muhuni .. huyo hakufai akija mwingine mkubali usilie wewe
 
Wana JF,

Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.

Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.

Sitaki mwanaume kuanzia sasa
Nitaamini vp ili bandiko lako kama ni kweli

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Back
Top Bottom