Nalia kama sio kutoa machozi, wanaume mkoje?

Nalia kama sio kutoa machozi, wanaume mkoje?

mkiambiwa someni haya mambo mtakutana nayo mbele hamtaki!!
 
Adam atakua alibadilisha mtandao kwenda ule wenye rangi ya blue..
 
Nilie mpata haeleweki wana jf kabadilika gafra hivi nina nini mie jamani kihuba
Hapa nalia tu duhuuuuuuuuuuuuuuu

Kweli wanaume pasua kichwa
Nimechoka sasa wacha nitulie tu mungu ataniletea jamani

Sitaki mwanaume kuanzia sasa

Basii nyamaza eee njoo kwangu jamani mi sio mkali wala sina hata jina,tatizo unawapendaga wabana pua na walee wa suluali chini ya makalio njoo kwangu bebiiiiii
 
Nilie mpata haeleweki wana jf kabadilika gafra hivi nina nini mie jamani kihuba
Hapa nalia tu duhuuuuuuuuuuuuuuu

Kweli wanaume pasua kichwa
Nimechoka sasa wacha nitulie tu mungu ataniletea jamani

Sitaki mwanaume kuanzia sasa
tumekuchoka sasa
 
Nilie mpata haeleweki wana jf kabadilika gafra hivi nina nini mie jamani kihuba
Hapa nalia tu duhuuuuuuuuuuuuuuu

Kweli wanaume pasua kichwa
Nimechoka sasa wacha nitulie tu mungu ataniletea jamani

Sitaki mwanaume kuanzia sasa
Utataka tu

time will tell
 
Nilie mpata haeleweki wana jf kabadilika gafra hivi nina nini mie jamani kihuba
Hapa nalia tu duhuuuuuuuuuuuuuuu

Kweli wanaume pasua kichwa
Nimechoka sasa wacha nitulie tu mungu ataniletea jamani

Sitaki mwanaume kuanzia sasa

Tatizo uligawa dyudyu mapema! Ule msemo wenu wa MPAKA NDOA ndo unionje nowadays sijui ulifia wapi?
 
Back
Top Bottom