Kuna baadhi ya wanawake wameumbwa kwaajili ya wanaume,,na kuna wanawake wameumbwa kuwa wake za watu,,so be carefullyWana JF,
Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.
Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.
Sitaki mwanaume kuanzia sasa