Vip kakukojolea?Nilie mpata haeleweki wana jf kabadilika gafra hivi nina nini mie jamani kihuba
Hapa nalia tu duhuuuuuuuuuuuuuuu
Kweli wanaume pasua kichwa
Nimechoka sasa wacha nitulie tu mungu ataniletea jamani
Sitaki mwanaume kuanzia sasa
Hutaki mwanamme, unataka mwanamke?Nilie mpata haeleweki wana jf kabadilika gafra hivi nina nini mie jamani kihuba
Hapa nalia tu duhuuuuuuuuuuuuuuu
Kweli wanaume pasua kichwa
Nimechoka sasa wacha nitulie tu mungu ataniletea jamani
Sitaki mwanaume kuanzia sasa
Pole sana kihuba, achana na wanaume watakutesa sana. Baki mwenyewe tuuNilie mpata haeleweki wana jf kabadilika gafra hivi nina nini mie jamani kihuba
Hapa nalia tu duhuuuuuuuuuuuuuuu
Kweli wanaume pasua kichwa
Nimechoka sasa wacha nitulie tu mungu ataniletea jamani
Sitaki mwanaume kuanzia sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wewe mwenyewe ulinitosa tena ukae kimya leo nna asira
Ndicho alichokisahau,mkumbusheHuo muda umekaa unamlilia mwanaume ni bora ukatafte pesa.