Zogoo da khama
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 640
- 615
Hee imekuaje tena na huyo "Mwanaume Mashine aka Adam wako"? ama kweli mgema akisifiwa tembo hulitia maji !! angalia ulipojikwaa umka, jipanguse, songa mbele.
Infatuation feels like love, but it will never pass the test of time!
Sent using Jamii Forums mobile app
Looh... Wewe!Hebu jicheki papuchi kama ina smell like morng breathe au ni bwaa
Wana JF,
Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.
Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.
Sitaki mwanaume kuanzia sasa
HahahaWana JF,
Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.
Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.
Sitaki mwanaume kuanzia sasa
Wana JF,
Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.
Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.
Sitaki mwanaume kuanzia sasa
mapenzi ki zunguzungu!Nafurahaa ya dhati kupata mwanaume mashine na mwenye mapenzi ya dhati
Kihuba si jana tu ulikua unamsifia mr. Adam kupitia hiyo siridi..kunani tena karibu PM nikupe raha
Amezidi sana huyu mara kamsifia jamaa leo analialia hovyo
Km kuna mwanaume alikupenda ukamdengulia na dharau ukamletea huu ndiyo wakati wake wa kumkumbuka. Unatamani hata siku zirudi nyuma urekebishe makosa.Wana JF,
Niliempata haeleweki kabadilika ghafla, hivi nina nini mimi hapa nalia tu, kweli wanaume pasua kichwa.
Nimechoka sasa wacha nitulie tu Mungu ataniletea.
Sitaki mwanaume kuanzia sasa