karibu mwanangu...
likewise dady!!
wapi tena huko..??
nakupenda madame B
Huwa kila siku ninacheka,mkulima wa Ndizi na wewe unaweza kujitokeza mbele za watu na kujiita Tajiri..?? Na sisi wafanya biashara za Mapetrol tujiiteje...???
Uamuzi huu nimeuchukua baada ya kusoma post ya Mwita Maranya na ninamuambia kabisa kuwa kisichokuwa na thamani kwako kwa Mungu kina thamani wewe ukisema mke gani wenzio wanamuona anapendeza
Naomba hii aione Filipo.....
Uamuzi huu nimeuchukua baada ya kusoma post ya Mwita Maranya na ninamuambia kabisa kuwa kisichokuwa na thamani kwako kwa Mungu kina thamani wewe ukisema mke gani wenzio wanamuona anapendeza
Naomba hii aione Filipo.....
Nakuona hapa chini C6 yombaga guku......
Nashanga!
Hata sijui huyo The secretary alijigongaje!
Nadhani itakua ni kwa msaada wa akina maji-ma-tall ! Mzizi mkavu with related matter !