jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari za muda huu ndugu zangu
Msema Kweli ni mpenzi wa Mungu,
Ndugu zangu mimi ni kijana ambae sijaoa na wala sina mtoto kabisa ila nimevutiwa sana na huyu bi dada anaeitwa financial services kwa kweli na ninampenda haswa
Nimekua nikifatilia sana comment zake niza heshima na adabu tele naona kabisa huyu anajielewa sana na nimevutiwa sana kuwa nae katika maisha ya mume na mke
Popote ulipo financial Services mamy Mungu akulinde pia naomba ujue nakupenda sana na kama bado hujaolewa nipo teyari nikuoe uwe mke wangu halali na mama wa watoto tutakao jaliwa na Mwenyezi Mungu
Nawasilisha ndugu zangu
Msema Kweli ni mpenzi wa Mungu,
Ndugu zangu mimi ni kijana ambae sijaoa na wala sina mtoto kabisa ila nimevutiwa sana na huyu bi dada anaeitwa financial services kwa kweli na ninampenda haswa
Nimekua nikifatilia sana comment zake niza heshima na adabu tele naona kabisa huyu anajielewa sana na nimevutiwa sana kuwa nae katika maisha ya mume na mke
Popote ulipo financial Services mamy Mungu akulinde pia naomba ujue nakupenda sana na kama bado hujaolewa nipo teyari nikuoe uwe mke wangu halali na mama wa watoto tutakao jaliwa na Mwenyezi Mungu
Nawasilisha ndugu zangu