Napoleon the second
Member
- Aug 25, 2019
- 79
- 80
poleni na hongera kwa majukumu ya kila siku, naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Kimsingi nahitaji kusoma "masters" ila sijuwi ni kozi gani itanifaa na kuleta tija kwangu.
Ndugu wadau, naomba nianze kwa kujitambulisha binafsi kielimu nina shahada ya elimu ya watu wazima na maendeleo ya jamii yaani "bachelor of education in adult education and community development (Bed-Adec) kutoka chuo kikuu cha dodoma (UDOM).
Ndugu wadau, nimepata ajira mwaka huu baada ya kupambana na saili za utumishi, bahati nzuri Mungu amenyosha mkono wake na kuamuru nipate ajira serikalini kama afisa maendeleo ya jamii dadaja ll yaani "Community Development Officer grade ll (CDO) katika halmashauri fulani hapa nchini.
Ndugu wadau, lengo langu "from day one" ni kuanza maandalizi ya kusoma " masters" ila sina ufahamu wa kutosha kuhusu aina au kozi gani ya "masters" itakayonisaidia zaidi kunipeleka mbele kulingana na "field" yangu hii ya CDO.
NB: Naombeni maoni na ushauri wenu wa kina juu ya jambo langu hili kwani imekuwa muda mrefu sasa toka nimalize shahada yangu ya kwanza mwaka 2017.
#Nitashukuru sana kwa msaada wenu wa mawazo.
Ndugu wadau, naomba nianze kwa kujitambulisha binafsi kielimu nina shahada ya elimu ya watu wazima na maendeleo ya jamii yaani "bachelor of education in adult education and community development (Bed-Adec) kutoka chuo kikuu cha dodoma (UDOM).
Ndugu wadau, nimepata ajira mwaka huu baada ya kupambana na saili za utumishi, bahati nzuri Mungu amenyosha mkono wake na kuamuru nipate ajira serikalini kama afisa maendeleo ya jamii dadaja ll yaani "Community Development Officer grade ll (CDO) katika halmashauri fulani hapa nchini.
Ndugu wadau, lengo langu "from day one" ni kuanza maandalizi ya kusoma " masters" ila sina ufahamu wa kutosha kuhusu aina au kozi gani ya "masters" itakayonisaidia zaidi kunipeleka mbele kulingana na "field" yangu hii ya CDO.
NB: Naombeni maoni na ushauri wenu wa kina juu ya jambo langu hili kwani imekuwa muda mrefu sasa toka nimalize shahada yangu ya kwanza mwaka 2017.
#Nitashukuru sana kwa msaada wenu wa mawazo.