Nakupenda a.k.a I love you!

Nakupenda a.k.a I love you!

Hahahaaa... Ya right.. ''SHIKA SANA ULICHONACHO'' Ntuzu nasikia huwa anateleza sana (Hio ni siri yako usimwambie lkn)

Hahahah shem....abiria chunga. We mwenyewe unakiri hapa kwamba nimevumbua mgodi wa manzese kariakoo....unadhani nna kazi ndogo hapo?
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa... Ya right.. ''SHIKA SANA ULICHONACHO'' Ntuzu nasikia huwa anateleza sana (Hio ni siri yako usimwambie lkn)

Hapo kwenye manzese nlitaka kusema dhahabu lol
 
Last edited by a moderator:
Dah kuna MTU huyo yani ye in kila SAA ilikuwa I love u ukimuliza upo wapi atkujibu
Nipo home I love you,
Ukimwambia pitia basi hapo dukani nletee mafuta ya nywele utaskia
Haya beby I love you
Good9t basi tena utaskia
You too i love you
Khaaa kunchoshaga miye"!!!!!

duh! aisee madam hii kali, i love you!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom