Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,632
Last edited by a moderator:
Kumbeeee ......!!
Kumbe we mchoyo eehh??
Ndio vile tena ........
Hebu niambie na mimi halafu umaanishe ....!!
Ujue nimesikia baridi hapa!
Ujue nimesikia baridi hapa!
si kukuambia tu au?so it means ukiambiwa unateremsha
Mtu wa kwanza kumtamkia kwa kumaanisha sijui hata yuko wapi. Nimezitamka mara nyingi tu na siku zote huwa namaanisha sema ndo vile tena....
Aiseee....
Mtu wa kwanza kumtamkia kwa kumaanisha sijui hata yuko wapi. Nimezitamka mara nyingi tu na siku zote huwa namaanisha sema ndo vile tena....
Hahaha hapana bana ujue hilo neno. Ni zito sana unatakiwa kulisema pale unapohisi unamapendo na kuwa na hisia haswaaa.
Aaarrgh...too bad