Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,973
Nipo.... Juzi jana na leo Mwl!!!
Nasikia maneno yako
Ko umeamua kushtaki au...??
Ko umeamua kushtaki au...??
Leka Nae!!!!
dawa ya moyo ni kuchepuka usifichemi namwita Makomana kwani kuna dhambi,we kama sio ka pembeni, miss strong picha la mazombie cinema hall linaanza Khantwe mi sina shida na wewe ulisha nipa mengi kwa ID ileeee Ntuzu a.k.a wakusindikiza mwaka wako miss chagga dawa ya moyo ni kuche....? mi natulia hapa nawatch hii conversion kwenye LCD connected na hdml via pc na mrembo tumboo akiwa anachezea hela mezani koho koho
lazima usinielewe chezea HIT and RUN
P....fu zakooo......hit and run kwa khantwe ama...?
mi namwita Makomana kwani kuna dhambi,we kama sio ka pembeni, miss strong picha la mazombie cinema hall linaanza Khantwe mi sina shida na wewe ulisha nipa mengi kwa ID ileeee Ntuzu a.k.a wakusindikiza mwaka wako miss chagga dawa ya moyo ni kuche....? mi natulia hapa nawatch hii conversion kwenye LCD connected na hdml via pc na mrembo tumboo akiwa anachezea hela mezani koho koho
chagua hapa
1.boyfriend wa secondary
2.aliyekutoa bikra
utakumbuka mi ni nani
am sorry X
Nashukuru kaka kukusikia tena.
Yeah.. Mr Rocky nadhani naye atarejea siku si nyingi.
Khantwe ndio kiongozi wa mbio za mwenge wako siku hizi? Haki yanani miss chagga urudi tu kijijini ukalime ndizi sasa. Ntuzu alikua anatutunza sana sisi mashemeji hata kiwatengu ni shahidi ,mwaminifu kenye hili... sasa umekata kamba masikini ya JK sijui inakuaje tena... uuuwiiiiii.... Kaka ntakupa dada yetu mwingine ngoja nimlie timing kwanza.
miss chagga umetukatia riziki ujue?
Pamoja sana Kaka. Mzee wa miamba atakuja aisee.. tuendelee kumuombea recovery.
Kwenye red umenitia moyo sana... maana ningekauka kwenye zile nyama choma ghafla sijui ningjiteteaje mkulima mie. You worth it Meen!!!!
Shem angalia usilikoroge mapema hii !!! Hahahahaaaaa.... Ila kama ni huyu Ntuzu nayemfahamu.... UMEBAHATIKA.
Nipo.... Juzi jana na leo Mwl!!!