Nakupenda a.k.a I love you!

Nakupenda a.k.a I love you!

Yule wa mwanzo namkumbuka na I love you yake ilikuwa ya ukweli but mazingira hayakuturusu.
Yupo, naishi mkoa mmoja hapa bongo, tunawasiliana kawaida sana ni kaka na dadake nowdays

Ila mwanzoni??

Vipi unamkumbuka yule wa kwanza?
Unakumbuka alipo?
 
Kwa sasa yuko Tanzania mji siufahamu

Baada ya yeye zilizokuja si za kweli Tan tan lila kibao

Hata hivyo madem wa kibongo we acha tuu
 
Yule wa mwanzo namkumbuka na I love you yake ilikuwa ya ukweli but mazingira hayakuturusu.
Yupo, naishi mkoa mmoja hapa bongo, tunawasiliana kawaida sana ni kaka na dadake nowdays

Na huyu wa mwisho ni wa ishirini na ngapi?
 
Yule wa mwanzo namkumbuka na I love you yake ilikuwa ya ukweli but mazingira hayakuturusu.
Yupo, naishi mkoa mmoja hapa bongo, tunawasiliana kawaida sana ni kaka na dadake nowdays
ram, unantia shaka...mshakuwa kama na dada? Mmmh
 
Last edited by a moderator:
Hili neno kwa sasa limegeuka kuwa na usikivu wa kishetani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom