Aiseee .....
Ndio kawaida yao ...!!
Wewe unamaanisha au?
Unamkumbuka wa kwanza kumuambia hivyo?
Yupo wapi?
Hivi kumbe nime Ku quote wewe?
ndo ukome na kiherehere chako....
Mpe pole zake nyingi sana.
Nikome kuanzia wapi?
Za ukweli ni moja tyuuuu!! zauongo uncountable!!
Pole ya nini wee babu?
Hivi unakumbuka ni mara ngapi umeshawahi kulitamka hilo neno kwenye maisha yako kwenye suala la mapenzi?
Je unamkumbuka wa kwanza uliyemuambia hivyo?
Yupo wapi sasa?
Damn .......
Nikimkumbuka wa kwanza kumuambia hivyo leo ni muke ya mutu na ana watoto .....
Halafu nimeshawahi kulisema kama maraaaaaaaa ......mmmhhhhhhh........ngoja niendelee kukumbuka
Kama mara 6 hivi ........
Wewew je?
Achana na zile za uongo,nataka za ukweli!
Kwa wizi naomfanyia... mwambie sina jinsi, anisamehe bure.
Uuupsi kumbe wewe ulimaanishaKumbe ulinidanganya eeehh ...lol!!