Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,465
Sisi tuliozaliwa miaka ile hatukuwa na ile neno kwenye kamusi zetu za mahusiano...!
Sijawahi kumwambia binadamu awaye yote chini ya Mbingu au aliyekwishatangulia mbele ya haki kuwa "I Love You"...!
Na pia sijawahi kutamkiwa binadamu awaye yote chini ya Mbingu au aliyekwishatangulia mbele ya haki kuwa "I Love You"...!
Na Nisingependa kuambiwa ile "Neno"...!
Sijawahi kumwambia binadamu awaye yote chini ya Mbingu au aliyekwishatangulia mbele ya haki kuwa "I Love You"...!
Na pia sijawahi kutamkiwa binadamu awaye yote chini ya Mbingu au aliyekwishatangulia mbele ya haki kuwa "I Love You"...!
Na Nisingependa kuambiwa ile "Neno"...!