Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,127
- 124,689
Bado tu jamani?
Bado..
Bado tu jamani?
Yule wa mwanzo namkumbuka na I love you yake ilikuwa ya ukweli but mazingira hayakuturusu.
Yupo, naishi mkoa mmoja hapa bongo, tunawasiliana kawaida sana ni kaka na dadake nowdays
Mi bado sijaelewa....yan toka yupo kwao hadi unamhamishia kwako ulikuwa unaonesha vitendo tu?
Inabidi ubadilishe mbinu ili ushinde vita maana namuona mtu mmoja hapo anakuja kwa kasi!
Hivi unakumbuka ni mara ngapi umeshawahi kulitamka hilo neno kwenye maisha yako kwenye suala la mapenzi?
Je unamkumbuka wa kwanza uliyemuambia hivyo?
Yupo wapi sasa?
Damn .......
Nikimkumbuka wa kwanza kumuambia hivyo leo ni muke ya mutu na ana watoto .....
Halafu nimeshawahi kulisema kama maraaaaaaaa ......mmmhhhhhhh........ngoja niendelee kukumbuka
Kama mara 6 hivi ........
Wewew je?
Achana na zile za uongo,nataka za ukweli!
Tunajadili kutamka!
sana asee. kapata sapraiz zangu sana enzi zake. na baada ya ndoa... ni full vitendo. ila kuandikiwa kwenye kadi, barua na sms nimemuandikia sana, hapa şi tunajadili kutamkiwa au?
Mwaaaaa tuuu
Kuna msemo mmoja unasema kuwa "ukiona wapenzi wa zamani wanaendelea kuwasiliana basi jua kuwa hao hawakuachana au bado wanapendana"
Unasemaje hapo?