Wewe kweli kabisa wafaa kuitwa Ndama tena aliye mwehu.Ikawe heri
View attachment 3666458
Kwani imeandikwa sehemu au kuna limitation ya kusema ninacho kitaka?Tumia akili zako vizuri Kijana 😂😂😂
Mbegu inapoota ardhini huwa haina mikelele lakini wewe kelele nyingiiii
Hatukuandami lakini jifikirie sana aisee , kama humu JF tushakujua nenda na huko nje wakujue basi
hutaki tukusindikize kwenye kusudio lako kuu?mbona unakua na ubinafsi na roho ya choyo sana? Ndomana sis mods tunakuramba ban Kila uchwaoWewe kweli kabisa wafaa kuitwa Ndama tena aliye mwehu.
Msukuma gani wewe mbona mjinga mjinga 🤣🤣🤣Kwani imeandikwa sehemu au kuna limitation ya kusema ninacho kitaka?
Na usitumie misemo uchwara ukadhani kila mtu ata buy into the BS...
Hold your composure, acha kuleta projection za kijinga
I have all rights to say and be who I want none of y'all can tell me anything.Kama jf unapiga kelele kiasi hiki sijui mazingira unayoishi inakuwaje..
Huwezi toboa kwa kuwaambia watu goals zako na plans zako... utabaki kujisifu na kujipa moyo...
Sawa.I have all rights to say and be who I want none of y'all can tell me anything.
Umekuwa mjinga sana tena hata nje ya JF na hili jina lako umeonekana una changamoto za kifikra . Kaa kwa kutulia attentions unazozitafuta umeshazipata rudi kwenye uhalisia sasaHiyo ni perception yako yenye insecurity
Tena jike ww unaye kaa kucheka cheka.
Tunamshauri na kumjenga kiakili anatuona ni haters lakini ipo siku atakuja kuandika ukweli wa mambo tu.Kama jf unapiga kelele kiasi hiki sijui mazingira unayoishi inakuwaje..
Huwezi toboa kwa kuwaambia watu goals zako na plans zako... utabaki kujisifu na kujipa moyo...
Usimpe matumaini hewa , akili bado changa sana huyu kama mawazo ya watu tu yanampanikisha ataweza kuukabili uhalisia wa mafanikio?Kila la heri MBUZI ajae