DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 5,948
- 11,393
Mkuu mbona unavyojibu as if kwamba mimi ni askari na ndo huyo aliyeleta thread.Sawa kuruti
Mkuu mbona unavyojibu as if kwamba mimi ni askari na ndo huyo aliyeleta thread.Sawa kuruti
Uhuru ni mkubwa, imagine shule za Dsm, Arusha, Mbeya na mikoa mingine ina waalimu 70, somo moja lina waalimu 6, ukaguzi haufanyingi for long periodmwalimu anatoka kazini saa 9 na nusu jioni kama wafanyakaz wengne tu wa serikali. ni uhuru gan huo unaosema mwalimu anaupata ukilinganisha na waajiriwa wengne wa serikali?
Mkuu uko sawa kabisa, mwalimu ana gaps nyingi za uhuru... siku huna kipindi unaenda zako kazini asubuhi una sign unaenda zako mishe... mara nyingine una kipindi kimoja, unamwomba mwalimu mwenzio aku-sainie then unamtumia kazi ya wanafunzi WhatsApp awape wanaifanya anawasimamia wanakusanya, siku inaisha... Scenarios kama hizo ni ngumu kwa askariUhuru ni mkubwa, imagine shule za Dsm, Arusha, Mbeya na mikoa mingine ina waalimu 70, somo moja lina waalimu 6, ukaguzi haufanyingi for long period
Hlf excuses za Mwl. ni nyingi na km ni wa serikalini ni gumu kusikia amecgukuliwa hatua sheikh
Kuna Mwl. ana bishara kubwa tu na ipo busy Sinza na Temeke na muda mwingi yupo kwny biashara zake...polisi hawezi
Acha kaziHiii sio kazi ni presha
Kila mtu boss wako
Unakaa kwa Machale
Kazini chuki, mtaani chuki
Rushwa kila kona
Ama kweli najuta kuwa polisi
Binafsi Huwa nikipita hapo salender bridge, mataa ya moroko, uhasibu, mission , kwa Aziz ally e.t.cHiii sio kazi ni presha
Kila mtu boss wako
Unakaa kwa Machale
Kazini chuki, mtaani chuki
Rushwa kila kona
Ama kweli najuta kuwa polisi
Mkuu,Hebu nitajie jina lako kamili na namba yako ili niongee na Afande IGP kwa msaada zaidi.
Kwanza wanapenda kuchukua watu wenye D MOJA😀Piga kaz poti, omba uingie utrafiki au nenda kaongeze shule
Ni kweli.Hela ya rushwa uipeleke nyumbani ukale na mke na watoto wako ni haramu na najisi Sheikh,
Sio bure watoto wa Mapolisi huwa hawafiki mbali...wanaharibika kwa kuwa wavuta bangi au Malaya
ChaiHiii sio kazi ni presha
Kila mtu boss wako
Unakaa kwa Machale
Kazini chuki, mtaani chuki
Rushwa kila kona
Ama kweli najuta kuwa polisi
Rushwa ni kosa na ni dhambi .Bado mgeni wa kazi ukizoea utaipenda tu, hukosi hela ya rushwa mshahara utakaa bank tu.
Kumbe we ni polisi???!!!!!!!!!Hiii sio kazi ni presha
Kila mtu boss wako
Unakaa kwa Machale
Kazini chuki, mtaani chuki
Rushwa kila kona
Ama kweli najuta kuwa polisi
Hapana ni mchungajiKumbe we ni polisi???!!!!!!!!!
Hakika 💪Pesa ni jawabu la mambo yote kaka!
Kazi anaipenda ila makando-kando yahusuyo kazi yake ndo yamemfanya ajutie.Sasa kwanini ang'ang'anie kufanya kazi ambayo haipendi?
Ninao marafiki wengi polisi lakini kusema ukweli hilo swali sijawahi kuwauliza.Huo ndo ukweli mchungu. Kama una rafiki ni polisi mzoefu muulize ni ipi hali halisi ya zile uniform. Sisemi kua naunga mkono