Najuta kujiunga na jeshi la polisi

Najuta kujiunga na jeshi la polisi

Hiii sio kazi ni presha
Kila mtu boss wako
Unakaa kwa Machale
Kazini chuki, mtaani chuki
Rushwa kila kona

Ama kweli najuta kuwa polisi
Bora wewe umejitambua ndani ya nyumba yangu atakae chukua uelekeo huo na uli wa siasa chafu za ccm namkana na kamwe tusijuane!
 
Ukiwaona unaweza fikiri na wenyewe hawawekwi mahabusu, by the way naona damu ya 29 imeanza kukurudi coz mlikuwa mnashindana kuua.
 
Hivi kwani ukikimbia jeshi ukatokomea vijijini miaka 5 wanakusaka?
Nina scenario mbili za haya mambo ya jeshi yananitatiza nashindwa kuelewa

Scenario ya kwanza, nina mshkaji nilisoma nae Chuo. Tulivyomaliza chuo( enzi za Jk) mimi niliajiriwa Serikalini but yule mshakaji akaenda jeshi... Akafanya kazi jeshini karibu miaka nane baadae akaja kuacha, kwa kipindi chote hicho hatukuwahi kuonana ila tulikua tunawasiliana tu kwa simu.. Siku moja nimesafiri nimeenda mkoa flani hivi kufanya harakati zangu, nikakutana nae face to face na hapo ndo akaniambia kwamba alishaacha kazi jeshini...

Akaniambia "Aisee jeshini ni usenge mtupu, kila siku kutumwa tumwa tu kama mtoto na hauwezi ku-settle kabisa.. Mara umepelekwa Mwanza, baada ya miezi miwili unapelekwa sijui Lindi, Bukoba.. Huwezi uka-settle maisha yako na familia... Niliona ni upuuzi, siku moja niliamka asubuhi sana nikakusanya magwanda na mazagazaga yao yote nikayaweka kwenye begi nikayaacha pale pale kambini nikatoroka zangu... Mpaka leo hakuna anaejua niko wapi"

Nikamuuliza kwani kuacha jeshi ni kosa mpaka utoroke na usijulikane uliko, jamaa akanijibu "siwezi kukuelezea kiundani lakini ila jeshi ukiacha lazima wakuletee matatizo"

Scenario nyingine mshikaji mwengine namfahamu tena huyu natoka nae mtaa mmoja na tumekua wote... Huyu mshakaji pia alikua mjeshi akaja kuacha, akaanza kuafanya biashara na kilimo... From no where siku moja akakutwa shambani kwake amekufa.. Yaani amemuaga mke wake anaenda shambani, baadae hakurudi nyumbani ndipo wakamkuta shambani amefariki.

Haya matukio mawili huwa yananifikirisha sometimes.
 
Nina scenario mbili za haya mambo ya jeshi yananitatiza nashindwa kuelewa

Scenario ya kwanza, nina mshkaji nilisoma nae Chuo. Tulivyomaliza chuo( enzi za Jk) mimi niliajiriwa Serikalini but yule mshakaji akaenda jeshi... Akafanya kazi jeshini karibu miaka nane baadae akaja kuacha, kwa kipindi chote hicho hatukuwahi kuonana ila tulikua tunawasiliana tu kwa simu.. Siku moja nimesafiri nimeenda mkoa flani hivi kufanya harakati zangu, nikakutana nae face to face na hapo ndo akaniambia kwamba alishaacha kazi jeshini...

Akaniambia "Aisee jeshini ni usenge mtupu, kila siku kutumwa tumwa tu kama mtoto na hauwezi ku-settle kabisa.. Mara umepelekwa Mwanza, baada ya miezi miwili unapelekwa sijui Lindi, Bukoba.. Huwezi uka-settle maisha yako na familia... Niliona ni upuuzi, siku moja niliamka asubuhi sana nikakusanya magwanda na mazagazaga yao yote nikayaweka kwenye begi nikayaacha pale pale kambini nikatoroka zangu... Mpaka leo hakuna anaejua niko wapi"

Nikamuuliza kwani kuacha jeshi ni kosa mpaka utoroke na usijulikane uliko, jamaa akanijibu "siwezi kukuelezea kiundani lakini ila jeshi ukiacha lazima wakuletee matatizo"

Scenario nyingine mshikaji mwengine namfahamu tena huyu natoka nae mtaa mmoja na tumekua wote... Huyu mshakaji pia alikua mjeshi akaja kuacha, akaanza kuafanya biashara na kilimo... From no where siku moja akakutwa shambani kwake amekufa.. Yaani amemuaga mke wake anaenda shambani, baadae hakurudi nyumbani ndipo wakamkuta shambani amefariki.

Haya matukio mawili huwa yananifikirisha sometimes.
Upo sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom