Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 12,630
- 23,838
Unakumbuk kiapo chako kwanza ??
Mkuu kwa hiyo kuna kiapo cha kutoacha kazi jeshini,?Ukikumbuka kile kiapo ulichokula Roho inapiga paaaah! Jichanganye Tukusahau
leo waajiriwa wa halmashaur wamepumzishwaHiii sio kazi ni presha
Kila mtu boss wako
Unakaa kwa Machale
Kazini chuki, mtaani chuki
Rushwa kila kona
Ama kweli najuta kuwa polisi
Acha kutupigia kelele. Acha kazi kapige mishe mingine!!Hiii sio kazi ni presha
Kila mtu boss wako
Unakaa kwa Machale
Kazini chuki, mtaani chuki
Rushwa kila kona
Ama kweli najuta kuwa polisi
mwalimu anatoka kazini saa 9 na nusu jioni kama wafanyakaz wengne tu wa serikali. ni uhuru gan huo unaosema mwalimu anaupata ukilinganisha na waajiriwa wengne wa serikali?Ushirikina, kurogana huko,kuchongeana kwa wakubwa, Uchawa
Mie kama ni kuwa Mtumishi wa serikali ningependa kuwa Mwalimu au Mkandarasi kwasababu ya uhuru wa kufanya mambo mengine
Ila hizi za jeshi na Usalama hapana, unaweza usilale hata wiki nzima🤣
Hapo ndo kazi ipo.Vipi wakuu wakimwambia awe anawapelekea mgao?
Mishe gani mingine mkuu? Unataka awe ni kibaka aliyepitia mafunzo ya Upolisi?Acha kutupigia kelele. Acha kazi kapige mishe mingine!!
We unaenda Kujiunga na jeshi la polisi huku ukiwa na akili Timamu utaumia Roho Buree.Hiii sio kazi ni presha
Kila mtu boss wako
Unakaa kwa Machale
Kazini chuki, mtaani chuki
Rushwa kila kona
Ama kweli najuta kuwa polisi
Yaani unataka kutuaminisha kwamba rushwa ni mojawapo ya kazi zao?Na rushwa si ndo uzuri wa kazi wenyewe kwa navyoskia. Kwamba unaweza sahau mshahara kabisa!
Huo ndo ukweli mchungu. Kama una rafiki ni polisi mzoefu muulize ni ipi hali halisi ya zile uniform. Sisemi kua naunga mkonoYaani unataka kutuaminisha kwamba rushwa ni mojawapo ya kazi zao?
GDKitengo gani upo
Sasa kwanini ang'ang'anie kufanya kazi ambayo haipendi?Mishe gani mingine mkuu? Unataka awe ni kibaka aliyepitia mafunzo ya Upolisi?
Kuzijua anaweza kuzijua,shida ni kuzielewa na kuziishiUnaijua PGO?
Utajua wewe! Ukiasi Kiapo Si unaelewa zawadi yake!Mkuu kwa hiyo kuna kiapo cha kutoacha kazi jeshini,?
Umejibu km mtoto wa chekechea..Utajua wewe! Ukiasi Kiapo Si unaelewa zawadi yake!
Sawa kurutiUmejibu km mtoto wa chekechea..