Naibu Waziri Mkuu: Magari ya Serikali yafungwe mfumo wa gesi asilia

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafuta.

 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafuta.

View attachment 2749046
Asisahau kuna jamaa ana mitungi yake ya kijani kama milion 3 hvi....aligawa bure mitungi 30 tuu
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafuta.

View attachment 2749046
Hahahahahah hapo atacheza kama Pele ila asichokijua ni kuwa mstaafu mmoja amewekeza kwenye sheli za bluu bluu kila mtaa 🤣🤣🤣 huenda kibarua chake kikaota nyasi kabla mpango haujakamilika maana mstaafu ndio infulensa wa shughuli zote za serikali!
 
Back
Top Bottom