Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Haina haja kuogopa. Corona ni kagonjwa kadogo sana. Haina haja kupaniki, tuendelee kuchapa kazi tu. Uchumi wetu ni mzuri na by the way kuna nchi 8 zinategemea nchi yetu kwa bidhaa zao.
Duh...!.Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amesema kuwa mmoja wa Wabunge wa Bunge hilo amethibitika kuwa ana maambukizi ya Virusi vya Corona.
Duh pole zake sana.Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amesema kuwa mmoja wa Wabunge wa Bunge hilo amethibitika kuwa ana maambukizi ya Virusi vya Corona.
Mtakiri siku Moja kuwa si ugonjwa wa kawaida.
Hahaaaa unyanyasaji upi mkuu. Any way hakuna haja ya kumtaja mgonjwa hadharani bila ridhaa yake.
hahaaaa unyanyasaji upi mkuu. Any way hakuna haja ya kumtaja mgonjwa hadharani bila ridhaa yake
Mtakiri siku Moja kuwa si ugonjwa wa kawaida.
Ukishakuwa ugonjwa hauwezi tena kuwa wa kawaida. Yaani kitu kinachoathili mwili unasema cha kawaida, je juice ya miwa itakuwa ni ugonjwa?
Ni wa kawaida kulingana na majanga ambayo yaliwahi kuikumba Africa huko nyuma
Sent using Jamii Forums mobile app