Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,990
- 103,372
Duh...!.
Hii Corona haina adabu kabisa!.
P
Hapo jiwe ndio hatarudi kabisa Dar.
Duh...!.
Hii Corona haina adabu kabisa!.
P
Pascal Mayalla tutarajie kuwa huyu aliyetajwa leo na naibu spika ni wa pili baada ya yule kigogo aliyekuwa Muhimbili?nalikumbuka bandiko lako hapa,,Duh...!.
Hii Corona haina adabu kabisa!.
P
Haina haja kuogopa. Corona ni kagonjwa kadogo sana. Haina haja kupaniki, tuendelee kuchapa kazi tu. Uchumi wetu ni mzuri na by the way kuna nchi 8 zinategemea nchi yetu kwa bidhaa zao.
mtoto wa Mh Mbowe alitajwa hadharani bila ridhaa yake wala ya familia, kwa hiyo lengo ni unyanyapaa. Hongera kwa familia, waligangamala, wakatoboa.
Basi huyo si wa ile kambi msiyoipenda.
Ukiskia tu "matibabu stahiki" ujue ni mbunge wa CCMWamtaje Jina tu,mbona wenzetu ulaya Boris Johnson aliugua corona akajitangaza pamoja na mataibabu aliyokua akiyapata. Tuna usiri wa kipuuzi sana Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona naona inavizia mihimili mitatu ya serikali.....imeanza na bungeDuh...!.
Hii Corona haina adabu kabisa!.
P
Basi huyo si wa ile kambi msiyoipenda.
Je Naibu Spika ana mamlaka ya kutaja wagonjwa? (Kadiri ya kale kautaratibu ketu).
Hakuna siri watu hawafichiki tayari wanamjua,ngoja wakati ufike
Wapo wanakusanya posho ya mwishomwisho.....zis iz afurika....... mwingine kajichimbia hataki kugusana na watz ila yy anasema mchape kaziPapaa Mobimba,
Bungeni wanafanya nini tena kwetu wakati janga la Corona linafukuta?
Waondoe huko tuipige vita mikusanyiko kwa vitendo na kauli moja.