Nahitaji vijana 50 kubandika bango mjini DSM.

Nahitaji vijana 50 kubandika bango mjini DSM.

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
11,293
Reaction score
25,771
Asee wakuu kwema?

Kijana abandoned bango 100, kila bango 1 shilingi za kitanzania 800. Bandika bango 100 uchukue 80000 mzee mambo yasiwe mengi..

Kazi inataka watu wa dar wenye ari na nguvu na uhitaji wa kazi.

Tunapendelea kufanya kazi na wa kiume zaidi. Kazi itaanza jumatatu na mwisho wa kuomba ni jumamosi ya tarehe 2 jioni.

Grup la wasap lipo. Nicheki 0628731833

Hakikisha una simu ya smartphone.

Kalaga baho.
 
Asee wakuu kwema?

Kijana abandoned bango 100, kila bango 1 shilingi za kitanzania 800. Bandika bango 100 uchukue 80000 mzee mambo yasiwe mengi..

Kazi inataka watu wa dar wenye ari na nguvu na uhitaji wa kazi.

Tunapendelea kufanya kazi na wa kiume zaidi. Kazi itaanza jumatatu na mwisho wa kuomba ni jumamosi ya tarehe 2 jioni.

Grup la wasap lipo. Nicheki 0628731833

Hakikisha una simu ya smartphone.

Kalaga baho.
Aione Lucas Mwashambwa
mihapase
Shotocan
Mtoto wa Shule
 
Makutano leo saa 4 asubuhi Sinza LION, mkabala na Kanisa katoliki. Ukifika hapo kuna mtu atakupokea 0767 792 503

Leo mchakato ni kusajiliwa na maongezi yote kuhusu kazi. Kesho kazi inaanza
 
Waombaji wahakikishe kuna maandishi kusiwe na kukimbiana baada ya kazi.
Hakuna kudhulumiwa, hii kazi sio ndogo ni y kampuni ya simu. Hakuna utapeli wala hakuna udalali. Yoyote atakaekutana na changamoto ya kutolipwa ataisema hapahapa.

Zoezi la kubandika bango 100 kwa siku sio dogo, tunafaham ugumu wake ndio mana tunathamini utendaj wake kazi wa mtu
 
Mimi nawaleta vijana hapo je mode ya malipo ipoje ? Na nikisema vijana wachukue 700 Mimi nibaki na 100 kuna ubaya?
 
Back
Top Bottom