heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 8,019
- 13,270
Makubaliano yako na wao mbona sio issue unawapngilia tuMimi nawaleta vijana hapo je mode ya malipo ipoje ? Na nikisema vijana wachukue 700 Mimi nibaki na 100 kuna ubaya?
Makubaliano yako na wao mbona sio issue unawapngilia tuMimi nawaleta vijana hapo je mode ya malipo ipoje ? Na nikisema vijana wachukue 700 Mimi nibaki na 100 kuna ubaya?
Nenda kabamdike mabango acha mbwembweOkay Mimi naleta vijana .
Dah.!, bongo mawinga mpo kwenye kila kituMimi nawaleta vijana hapo je mode ya malipo ipoje ? Na nikisema vijana wachukue 700 Mimi nibaki na 100 kuna ubaya?
Mkuu umeshakamilisha idadi? Nimechelewa kuona tangazo. Ninao vijana wawili wenye uhitaji na nguvu piaAsee wakuu kwema?
Kijana abandoned bango 100, kila bango 1 shilingi za kitanzania 800. Bandika bango 100 uchukue 80000 mzee mambo yasiwe mengi..
Kazi inataka watu wa dar wenye ari na nguvu na uhitaji wa kazi.
Tunapendelea kufanya kazi na wa kiume zaidi. Kazi itaanza jumatatu na mwisho wa kuomba ni jumamosi ya tarehe 2 jioni.
Grup la wasap lipo. Nicheki 0628731833
Hakikisha una simu ya smartphone.
Kalaga baho.
Walete huku Nambunju Lindi waje kuanza kukata njecha kwa ajili ya kilimo cha ufuta msimu ujao huu ndio muda saa hii wa vijana kujipanga kiuchumi.Kilimo ni Utajiri.Mkuu umeshakamilisha idadi? Nimechelewa kuona tangazo. Ninao vijana wawili wenye uhitaji na nguvu pia
Bado wanaitaji watu anaweza fika kesho chukuw namba umo kesho afike sinza lionMkuu umeshakamilisha idadi? Nimechelewa kuona tangazo. Ninao vijana wawili wenye uhitaji na nguvu pia
Sawa mkuu, thanks for the replyBado wanaitaji watu anaweza fika kesho chukuw namba umo kesho afike sinza lion
Ardhi na pembejeo za kilimo wanapewa bure?Walete huku Nambunju Lindi waje kuanza kukata njecha kwa ajili ya kilimo cha ufuta msimu ujao huu ndio muda saa hii wa vijana kujipanga kiuchumi.Kilimo ni Utajiri.
#Tujiajiri.
Mko wapiJiungen chap nahitaj watu 50 tu mpaka sasa nwamebaki 35. Ikitokea umekosa bas inshalla iitokea nyingine nitasema hapa. Kazi hii bure kabisa sitaki mia ya mtu
Join group apo juu mwanzo kuna link nafikir nafasi zipoNimechelewa kuona Tangazo vip naweza kufika kesho?
Zinakopeshwa bure kabisa ukipata mazao na ukiuza unarudisha pesa za watu au unaweza kurudisha pia kilo za ufuta.Ardhi na pembejeo za kilimo wanapewa bure?