Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,652
Wakuu naomba koneksheni ya kuweza kusafirisha mizigo ya nyumbani kutoka Magu Mwanza kwenda Morogoro. So nahitaji gari ya mizigo inayopita hapa Magu kuelekea Morogoro au Dar..
0719 614 600 mcheki huyo jamaa ila inahitaji uvumilivuWakuu naomba koneksheni ya kuweza kusafirisha mizgo y nyumbani kutoka magu mwanza kwenda morogoro. So nahitaji gari ya mizgo inayopita hapa magu kuelekea morogoro au Dar..
0719 614 600 mcheki huyo jamaa ila inahitaji uvumilivu
Ni gharama nafuu na salamaUvumilivu Gani mkuu.? Asante Kwa kushare
Ahsante. Ukiupta naomba ni tagKuna kampuni au jamaa wanahusikia na hizi ishu , na uzi wao upo humu ila nimeusahau, wakiona uzi wako huu watakujia kama bado wanajishughulisha na kazi hio
MeNi gharama nafuu na salama
Mizigo huwa inachelewa .ni bora vitu ambavyo unavihitaji sana ukiatangulia navyo vingine vikaja taratibu.
ThanksKama upo Magu wacheki Bonge Transport Wanafanya usafirishaji wa Mizigo Dar Mwanza mpaka Tarime, Namba ya ofisi Yao 0767 887 149.
Mussa Transport wanaishia Mwanza unaweza ukawacheki, wanaweza wakawa na gari iliyoleta mizigo Magu 0769 421 005.
Hizo ni namba za ofisi za hizo kampuni sio madqlali, pia Unaweza kutegea gari zinazorudi Dar Tupu. Unaweza kusogea Mwanza mjini Kuna kampuni nyingi wanarudi tupu hasa wanaoleta mizigo ya makampuni wakina Convoy, Mwanza Huduma n.k
Utajuaje yatapita. Dats why nataka connection nijue Muda na Namna ya kuwapataMbona unateseka..subiri magari ya nayotoka musoma yanaedna dsm..unapakia mzigo wako safari.
#MaendeleoHayanaChama