toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Kwa mujibu wa SGR kutoka Dar kwenda Mwanza na kigoma ni saa 7 tu
Kwa mujibu wa reli yetu kwenda Mwanza na kigoma itagharimu saa 7 tu au saa 8 kizidi sana masaa 9
Maana treni si rinatembea kilometa 160 kwa saa?
Sasa hapo kwa hesabu ni kuwa tunafika mwanza kwa halaka sana
Nataman ifike kanda ya Ziwa niwe naenda nyumbani kwa halaka sana
Kwa mujibu wa reli yetu kwenda Mwanza na kigoma itagharimu saa 7 tu au saa 8 kizidi sana masaa 9
Maana treni si rinatembea kilometa 160 kwa saa?
Sasa hapo kwa hesabu ni kuwa tunafika mwanza kwa halaka sana
Nataman ifike kanda ya Ziwa niwe naenda nyumbani kwa halaka sana