Bexb
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 655
- 1,390
Habari ya asbuhi wakuu. Ninahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Kigamboni kuanzia Mji mwema kuja uelekeo wa Maweni, hadi kwa Mwingira.
Ninahitaji iwe na vigezo vifuatavyo:
1. Vyumba viwili vya kulala ambapo kimoja kati ya hivyo kiwe self contained.
2. Kuwe na sebule
3. Public toilet ndani
4. Budget isizidi laki 3 (300,000/-)
5. Isiwe mbali sana na barabara
6. Iwe na fance na parking
Naomba sana kama wewe ndiye MMILIKI basi unitafute maana madalali wananipasua na hiyo hela ya mwezi mmoja na hali sio nzuri.
Call/WhatsApp 0755963775
Ninahitaji iwe na vigezo vifuatavyo:
1. Vyumba viwili vya kulala ambapo kimoja kati ya hivyo kiwe self contained.
2. Kuwe na sebule
3. Public toilet ndani
4. Budget isizidi laki 3 (300,000/-)
5. Isiwe mbali sana na barabara
6. Iwe na fance na parking
Naomba sana kama wewe ndiye MMILIKI basi unitafute maana madalali wananipasua na hiyo hela ya mwezi mmoja na hali sio nzuri.
Call/WhatsApp 0755963775