Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,636
- 3,807
Leo asubuhi mida ya saa kumi na moja
Kama ilivyokawaida yangu kufanya mazoezi.
Mara nyingi mbio na mwendo wa haraka kutoka kigamboni ferry mpaka mji mwema nilikuwa nakimbia ila kufika maeneno ya Malaika beach karibu na sherry ya lake oil jirani na Malaika school kama unaenda mjimwema unafika kongowe Wala njia ya kurudi mbagala unapitia uhasibu au kwa azizi Ally kabla ujafika uwanja wa taifa njia ya kwenda mbezi.
Au Barbara ya magari ya mikoani inategemea yanga na Simba watacheza lini mechi au mpaka Tanzania itakapopata uhuru au kama vita vya Russia na Ukraine inategemea wewe ni CCM au ACT Wazalendo.
Tafuta pesa wewe.
Acha kitonga.
Kama ilivyokawaida yangu kufanya mazoezi.
Mara nyingi mbio na mwendo wa haraka kutoka kigamboni ferry mpaka mji mwema nilikuwa nakimbia ila kufika maeneno ya Malaika beach karibu na sherry ya lake oil jirani na Malaika school kama unaenda mjimwema unafika kongowe Wala njia ya kurudi mbagala unapitia uhasibu au kwa azizi Ally kabla ujafika uwanja wa taifa njia ya kwenda mbezi.
Au Barbara ya magari ya mikoani inategemea yanga na Simba watacheza lini mechi au mpaka Tanzania itakapopata uhuru au kama vita vya Russia na Ukraine inategemea wewe ni CCM au ACT Wazalendo.
Tafuta pesa wewe.
Acha kitonga.