Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Aisee, mnatakiwa mfanyie kazi anger management. Siku huzi kuna wataalamu wa kila fani. Pale MNH kuna wataalamu wazuri sana wa saikolojia na afya ya akili. Jaribuni kiwatembelea, wao wana njia nyingi za kufahamu shida iko wapi na jinsi ya kuwasaidia.
Aaaah naweza kusema nimepona sanaaaa, kwa mwaka ni mara chache sana tena kawaida tu sio kama awali
 
sawa wanaume wa dar. ila muache kulialia hovyo.

dada zenu wanalia na nyie kaka zao mnalia
Watoto wa mama hao Mkuu.

Tunaokaa huku kivule hakuna michongo ya ajabu ajabu.

Halafu nimeona kama umedisi jani la wanaume wa ukweli Mkuu.

Hakuna kitu kinzuri kama bangi aisee.

Nakubali sana hiyo kitu maana kina mzuka wa hatari sana.
 
Jamani jamani hii tabia yenu wadada ya kukataa kutiwa dyudyu kwa kisingizio kuwa siku hizi kutafuta pesa ndo muhimu itawaumbua wengi!!
 
Niliwahi kuwa na g/friend kipindi cha nyuma alikuwa na tatizo kama lako, akikasirika anaweza akakuua kama hauko makini na ilikuwa anakwambia kabisa kwamba natamani nikuue ili niwe na amani, nilikuja kufaulu kuondoa tatizo lake kwa kumweka karibu nami hasa pale anapokuwa kacharuka. Mwanzoni ilikuwa tabu kidogo vile nililazimika kutumia nguvu nyingi sana kumkamata na kumbembeleza kwa maneno ya kufanya hasira yake ishuke, nilikuja kugundua anapokuwa hasira zake zinamkamata kichwani~ basi ikawa nikimkamata nampet pet kichwa chake na maneno ya kumfariji haichukui muda analala usingizi. Nilifanya hivyo mara kadhaa pasi na kuchoka na Mungu ni muweza wa yote tatizo lake likapungua saana na baadae kwisha. Sasa hivi akikasirika anapuuza tu kisha anasamehe maisha yanasonga. Pole sana miss. chaga
ulikuwa unam hypnotize bila kujua,nando process mojawapo inatumika kutafuta tiba ya hayo matatizo,sasa we bila kujua ndo ulikuwa ukimtibu mtu wako na akapona
 
Wewe bado hujapigwa vizur..siku uje uingie kwenye anga zangu na hasira zako kwanza nakufumua vya kutosha mpaka ukalazwe I.C.U tuone kama utarudia tena...
Mana utakua unakumbuka jinsi nilivyokufumua hapo nadhan ndio itakua mwisho wa hasira zako...
 
Wewe bado hujapigwa vizur..siku uje uingie kwenye anga zangu na hasira zako kwanza nakufumua vya kutosha mpaka ukalazwe I.C.U tuone kama utarudia tena...
Mana utakua unakumbuka jinsi nilivyokufumua hapo nadhan ndio itakua mwisho wa hasira zako...
Nakuwa kama nakuotea unaweza lazwa wewe
 
Wewe bado hujapigwa vizur..siku uje uingie kwenye anga zangu na hasira zako kwanza nakufumua vya kutosha mpaka ukalazwe I.C.U tuone kama utarudia tena...
Mana utakua unakumbuka jinsi nilivyokufumua hapo nadhan ndio itakua mwisho wa hasira zako...
Anaweza akawa amelazwa ICU huku tunaendelea na taratibu za mazishi za mwingine.
 
hapna mkuu huwa nikiasirika naenda kununua pombe za kutosha tu naweka nakuwa nazo chumbani ... na wakati huo najifungia chumbani najidunga tu nikizima nilipozimia hapo hapo nalala... nikiwa na hasira sipendi kuchangamana na yeyote yule
Hili nalo ni janga hasa kwa mtoto wa kike! Utawaambia nini wanao mdogo wangu, anza kuchukua hatua za kujipenda wewe kwanza kuliko mtu mwingine yeyote, lakini pia ji control kwa kupuuzia jambo lolote lile we puuzia tu ukipuuzia watakuita una dharau lakini itakua tiba kwa matatizo yako
 
duuh haya endelea kuvuta bangi

Hakuna mmea mzuri kama huu Duniani, tazama hata watu wakivuta utulivu unavyo wajaa

Hakika Mungu ana maajabu mengi sana mkuu, karibu jioni tujistili na msokoto mmoja tu kwa faida ya ubongo.
 
Hakuna mmea mzuri kama huu Duniani, tazama hata watu wakivuta utulivu unavyo wajaa

Hakika Mungu ana maajabu mengi sana mkuu, karibu jioni tujistili na msokoto mmoja tu kwa faida ya ubongo.
duuh nashukur sana Mkuu. kwetu umelaaniwa kabisa huo mmeo wenu
 
asante kaka
Mdogo wangu Manka...

Mwenye nguvu sio yule anayepigana na wenzake akashinda,bali ni yule anayezishinda hasira zake pindi akikasirika....

Azimia kwanza kuacha pombe,kama ukishindwa basi punguza.
Mimi jambo likiniudhi huwa najiambia mwenyewe..."Usikasirike"halafu natabasamu.

Mimi pia nina hasira sana,ila sijawahi kuiruhusu ikaushinda utashi wangu mpaka nikafanya kituko.

Kulitambua tatizo ni chanzo cha kupata ufumbuzi,jitahidi sana kuzishinda hasira zako...

Nakupenda miss chagga .
 
Back
Top Bottom