bomouwa
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,149
- 800
Shemeji Mulhat alishanijuza ndo maana nkawa nakufurahisha tu hata ukinkosea.asante baby. nilikuwa naficha usijue sema siku ningekufanyia ungeniogopa
Shemeji Mulhat alishanijuza ndo maana nkawa nakufurahisha tu hata ukinkosea.asante baby. nilikuwa naficha usijue sema siku ningekufanyia ungeniogopa
Mungu atakusaidia utapona tu my dearasante mkuu nataka kupona
Hahahah
Hapa hakuna kuuza sura wala nini mkuu ni kazi kazi tu.
Ila lima mwenyewe Mkuu
Najua utakuja huku mjini kutafuta wanaume wenye hela tuyanunue mahindi yako.
Muombeeni mwenzenu aponeMungu atakusaidia utapona tu my dear
Lilikua shetani hilo..Baby wangu miss chaga yeye akikasirika hua hanipagi haki ya ndoa..Niliwahi kuwa na g/friend kipindi cha nyuma alikuwa na tatizo kama lako, akikasirika anaweza akakuua kama hauko makini na ilikuwa anakwambia kabisa kwamba natamani nikuue ili niwe na amani, nilikuja kufaulu kuondoa tatizo lake kwa kumweka karibu nami hasa pale anapokuwa kacharuka. Mwanzoni ilikuwa tabu kidogo vile nililazimika kutumia nguvu nyingi sana kumkamata na kumbembeleza kwa maneno ya kufanya hasira yake ishuke, nilikuja kugundua anapokuwa hasira zake zinamkamata kichwani~ basi ikawa nikimkamata nampet pet kichwa chake na maneno ya kumfariji haichukui muda analala usingizi. Nilifanya hivyo mara kadhaa pasi na kuchoka na Mungu ni muweza wa yote tatizo lake likapungua saana na baadae kwisha. Sasa hivi akikasirika anapuuza tu kisha anasamehe maisha yanasonga. Pole sana miss. chaga
Kwendraa ndio mana sikufungulii kiboxWe nae unaombwa ushauri af unatoa pole🙁
asante mamy nimekuelewa mpenziOoooh my miss chagga nimeumia kwa huu uzi wako huwa nakuaminia sanaaaa unawez fanya kitu kuondoa hii Khali kipenz
Jiulize kwenye uzao wenu genetics zaid kuwa watu wenye hasira?? Je jina lako ulipewa la mtu wwa kale kwenye familia yenu?? Je alikuwa na tabia zip kama una jina unatumia sometimes majina ya kupewa yaweza kukuletea na tabia za mhusika kama ndivyo wewe piga maombi.Mungu mwamini akuonddolee vitabia vya mhusikA
Pili best angu ukiwa kwenye mazingira ya kuona khali ya hewa inachafuka ugomvi unaweza kuanza ni vizur ukajiondokea jitahid kuepuka hayo mazingira hasa ya ugomvi .pia jitahid saaana kuongea mara moja tatizo linapotokea usipende kuweka rohon wako hasira za jana na juzi jitahid kabla ya kulala umesameheee vyote anza siku na new smile na peace of mind
Tatu jitahid sana kunywa maji mengiii pind ukiwa na hasira na long breath plus kuwa online hassA kukaa eneo ulipendalo like beach..chumbani kwako au popote weka simu mbali enjoy huo muda fanya personal thinking yako iwe zaid positive hasa uwaze ukuu na mema Mungu alokutendea ..fikiria sucess zako usilipe nafasi lile lililokupa hasira au mm huwa napenda kukaa chumbani nasilkiliza nyimbo za Mungu plus kidunia nalia then narud in normal
Note usijidanganye na pombe hutakaa upate suluhisho kwa maana pombe inakufanya ufanye mengine mabaya ambayo unajikutaa unashusha value yako kwa watu fulan alafu unaishia kusema how shameless woman am i
Jitahid kutakaa mbali na wagomvi wako sometimes mpe ukweli na ondoka usikae kubishana ..kumbuka ******** ndiye anayeweka hasira kifuani mwake kwa hiyo wewe jitahid kuignore sometimes vitu vya ugomvi usipende kugombana
Kumbe siku zote nanjunja unazuga kukaa kimya kumbe bomu aiseii..! Dawa yenu ukijifanya unakasirika ni kutiiwa tuu, dawa ya hasira kwa mwanamke ni mtombeo basi.mapenzi yana maudhi
asante mkuuFanya meditation utafurahia maisha yako
Hasira zote zitayeyuka hata ufanyiwe nini
Tungekuwa tunalima wote nyie mngekuwa mnapata hela wapi Mkuu?mimi nalima na kuuza mwenyewe.
nyie wanaume wa dar mko busy na shilawadu ila sie ndio tunawalisha
TutamuombeaMuombeeni mwenzenu apone
Kweli tunabadilika,mpaka wewe ''umemrecommend'' huyu mama..........i
muone Aunt Sadaka....labda atakusaidia
Miss chagga unatia watu mateke kweli?! Aah mama hebu jitahidi kuji control mama, pole sana ilo lako nalo ni gonjwa, gonjwa La hasira mimi ninalo ila halijafikia kwako mimi hasira zangu zikipanda navunja vunja tu vitu iwe simu au chochote cha karibu, ni bora hii yangu ila iyo yako ya kujidhuru au kumdhuru mwengine ni hatari sana, jitahidi kujiepusha na mambo yatakayokupelekea kuchukia na kufanya mambo ya aibuhabari zenu wakuu.
ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..
kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..
wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.
nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.
asanteni
Kwangu mie napendaga hivo yaanisehemu yoyote ile iliyotulia humfanya mtu kuwaza zaidi na kuwa na tafakuri kubwa zaidi.
so ukihitaji kuwaza vitu vya msingi nenda seshemu ya wewe peke yako kaa utulie hapo utawaza zaidi.
pia Pombe si nzuri haswa kwa watoto wa kike yaani usinywe pombe kabisa.
kama haunywi mshukuru Mungu wako.