Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

hata nikiambiwa nimefiwa sijali ,sijui baba mgonjwa sijali nimekuwa sijali lolote naishi tu kama mungu alivonipangia
 
swali ulilouliza la uzalilishaji hilo nilishasamehe mkuu ..
so that could be where the problem is....
Yaweza kuwa uliamua kukaa kimya na kusamehe lakini kisaikolojia limekuathiri,kwa nchi za wenzetu kunakuwa na wataalamu kwa ishu kama hizo,
katika maisha haya jitahidi kuchukulia vitu simple,
kitendo tu cha kukasirika kwa style unayodai kuna ashiria kuna vitu vimejikusanya ndani yako ndo maana unakasirika kwa kulipuka kihivyo,
ha ha ha mi sio mtalaamu wa sikology lakini story yako imenikumbusha novel moja kuna mdada anaitwa michele nae alikuwa na hizo za kulipuka na kukandamiza mtu mangumi hata kwasababu kidogo tu,kumbe ndani mwake alikuwa na vitu kavihifadhi boyfriend wake alimtafutia headshrinker ndo akawa anahangaika kumrekebisha,kama vipi nikiipata link ntakutumia usomwe mwenzako alipona vipi
 
Na wewe hasira inakufanya upige ulabu??
Hapana, ulabu cjafanikiwa kutumia bali kichapo wengi wamechezea, nilinusurika kula risasi baada ya kutembeza kichapo kwa wenzangu na kazi nkapoteza, sikuishia hapo nilizingua police station ya wilaya flan kisa mmoja kaniudhi nako nilipona kula mvua za kutosha...kwa ufupi hasira zimehatarisha maisha yangu japo tukiongea huwezi amin kama ninaweza kukasirika..
Hii kitu mbaya sana Elli79
 
Kwanza hakuna mtu asiekasirika, mtu yoyote akipata maudhi lazma akasirike. Hata sisi sote tunao comment kwenye huu uzi wako pia kuna wakati tunakasiri hasa maudhi/matusi yanapopitiliza ila tunatofautiana tu jinsi ya kuhandle hasira zetu.

Sasa kwa sababu wewe hasira zako zinachukua muda kidogo basi wewe ni mtu safi na mvumilivu sana, (muda mpk kwenda bar, au kukasirika kesho yake kwa dukuduku la jana zinathibitisha unauwezo mkubwa tu wa kujicontrol 'big up')

Fanya hivi
(Ni njia za kisayansi)
*tape recorder(au sehemu ya record ya kwenye simu)
*video recorder (au kurecord video kwenye simu)
*Kalamu na karatasi
*kioo

Jinsi ya kutumia nafikiri simu ndo kitu kiko karibu sana kwako kuliko kioo na kalamu
Naendelea...........pg2
 
habari zenu wakuu.

ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..

kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..

wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.

nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.

asanteni
Baby!
Kwanza kabisa huabnakuambia hali hyo ikikutokea jaribu KUPUMZIKA.
Lakini pia jitahidi kufikiria jambo zuri balo ulikwisha fanya au kifanyiwa.
Usisahau katika kila jambo ABOVE ALL mwambie Mungu akushindie hitaji lako.
Wako akupendae
Bomouwa
 
Niliwahi kuwa na g/friend kipindi cha nyuma alikuwa na tatizo kama lako, akikasirika anaweza akakuua kama hauko makini na ilikuwa anakwambia kabisa kwamba natamani nikuue ili niwe na amani, nilikuja kufaulu kuondoa tatizo lake kwa kumweka karibu nami hasa pale anapokuwa kacharuka. Mwanzoni ilikuwa tabu kidogo vile nililazimika kutumia nguvu nyingi sana kumkamata na kumbembeleza kwa maneno ya kufanya hasira yake ishuke, nilikuja kugundua anapokuwa hasira zake zinamkamata kichwani~ basi ikawa nikimkamata nampet pet kichwa chake na maneno ya kumfariji haichukui muda analala usingizi. Nilifanya hivyo mara kadhaa pasi na kuchoka na Mungu ni muweza wa yote tatizo lake likapungua saana na baadae kwisha. Sasa hivi akikasirika anapuuza tu kisha anasamehe maisha yanasonga. Pole sana miss. chaga
 
so that could be where the problem is....
Yaweza kuwa uliamua kukaa kimya na kusamehe lakini kisaikolojia limekuathiri,kwa nchi za wenzetu kunakuwa na wataalamu kwa ishu kama hizo,
katika maisha haya jitahidi kuchukulia vitu simple,
kitendo tu cha kukasirika kwa style unayodai kuna ashiria kuna vitu vimejikusanya ndani yako ndo maana unakasirika kwa kulipuka kihivyo,
ha ha ha mi sio mtalaamu wa sikology lakini story yako imenikumbusha novel moja kuna mdada anaitwa michele nae alikuwa na hizo za kulipuka na kukandamiza mtu mangumi hata kwasababu kidogo tu,kumbe ndani mwake alikuwa na vitu kavihifadhi boyfriend wake alimtafutia headshrinker ndo akawa anahangaika kumrekebisha,kama vipi nikiipata link ntakutumia usomwe mwenzako alipona vipi
asante kaka nikipona uwii nahisi nitazidi kuwa mzuri
 
kweli kabisa asijaribu kuonja
mimi ni mpenzi sana wa pombe yaani nisipikunywa hata siku mbili aah sioni raha japo najua kabisa kabisa sio nzuri,

pombe huleta umasikini katika familia

pombe huleta magomvi.

pombe husababisha zinaa.

kwa ujumla pombe ni mbaya sana japo watu tunaipenda,

ila pombe ni mbaya zaidi kwa mtoto wa kike
 
Baby!
Kwanza kabisa huabnakuambia hali hyo ikikutokea jaribu KUPUMZIKA.
Lakini pia jitahidi kufikiria jambo zuri balo ulikwisha fanya au kifanyiwa.
Usisahau katika kila jambo ABOVE ALL mwambie Mungu akushindie hitaji lako.
Wako akupendae
Bomouwa
asante baby. nilikuwa naficha usijue sema siku ningekufanyia ungeniogopa
 
mimi ni mpenzi sana wa pombe yaani nisipikunywa hata siku mbili aah sioni raha japo najua kabisa kabisa sio nzuri,

pombe huleta umasikini katika familia

pombe huleta magomvi.

pombe husababisha zinaa.

kwa ujumla pombe ni mbaya sana japo watu tunaipenda,

ila pombe ni mbaya zaidi kwa mtoto wa kike
kweli kabisa si nzuri hata kidogo..
 
mimi ni mpenzi sana wa pombe yaani nisipikunywa hata siku mbili aah sioni raha japo najua kabisa kabisa sio nzuri,

pombe huleta umasikini katika familia

pombe huleta magomvi.

pombe husababisha zinaa.

kwa ujumla pombe ni mbaya sana japo watu tunaipenda,

ila pombe ni mbaya zaidi kwa mtoto wa kike
acha pombe
 
Niliwahi kuwa na g/friend kipindi cha nyuma alikuwa na tatizo kama lako, akikasirika anaweza akakuua kama hauko makini na ilikuwa anakwambia kabisa kwamba natamani nikuue ili niwe na amani, nilikuja kufaulu kuondoa tatizo lake kwa kumweka karibu nami hasa pale anapokuwa kacharuka. Mwanzoni ilikuwa tabu kidogo vile nililazimika kutumia nguvu nyingi sana kumkamata na kumbembeleza kwa maneno ya kufanya hasira yake ishuke, nilikuja kugundua anapokuwa hasira zake zinamkamata kichwani~ basi ikawa nikimkamata nampet pet kichwa chake na maneno ya kumfariji haichukui muda analala usingizi. Nilifanya hivyo mara kadhaa pasi na kuchoka na Mungu ni muweza wa yote tatizo lake likapungua saana na baadae kwisha. Sasa hivi akikasirika anapuuza tu kisha anasamehe maisha yanasonga. Pole sana miss. chaga
asante mkuu .. ngoja nimueleze mwenzangu awe ananishika kichwa
 
Njoo ulime wewe acha kuuza sura huko dar es salaam mnaanza kuchunguliana na dada zenu.

njoo msimu wa kuandaa mashamba ndio huu sasa.

njoo nkutafutie hata heka tano ulime mahindi
Hahahah

Hapa hakuna kuuza sura wala nini mkuu ni kazi kazi tu.

Ila lima mwenyewe Mkuu

Najua utakuja huku mjini kutafuta wanaume wenye hela tuyanunue mahindi yako.
 
Back
Top Bottom