kanyela mumo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,034
- 2,119
duuh nashukur sana Mkuu. kwetu umelaaniwa kabisa huo mmeo wenu
Mnaweza kuulani bila kujua, ila yote heli amani ndio kitu muhimu cha kujivunia.
duuh nashukur sana Mkuu. kwetu umelaaniwa kabisa huo mmeo wenu
Natafute nikufanyie cancelling
Asante kaka . Nakupenda piaMdogo wangu Manka...
Mwenye nguvu sio yule anayepigana na wenzake akashinda,bali ni yule anayezishinda hasira zake pindi akikasirika....
Azimia kwanza kuacha pombe,kama ukishindwa basi punguza.
Mimi jambo likiniudhi huwa najiambia mwenyewe..."Usikasirike"halafu natabasamu.
Mimi pia nina hasira sana,ila sijawahi kuiruhusu ikaushinda utashi wangu mpaka nikafanya kituko.
Kulitambua tatizo ni chanzo cha kupata ufumbuzi,jitahidi sana kuzishinda hasira zako...
Nakupenda miss chagga .
NIMEKUELEWA kaka mzuriDada yangu huwezi amini ila ukweli ni kwamba kuna wadada wengi wanapatwa na matatizo ya kisaikolojia kama vile hasira,ubabe,e.t.c kutokana na kubana mda mrefu bila kutiwa!
Dah...my ex kanitisha sana...Aisee, mnatakiwa mfanyie kazi anger management. Siku huzi kuna wataalamu wa kila fani. Pale MNH kuna wataalamu wazuri sana wa saikolojia na afya ya akili. Jaribuni kiwatembelea, wao wana njia nyingi za kufahamu shida iko wapi na jinsi ya kuwasaidia.
'Jah people'.....Hivi na kula zile sacrament za Babu Marley na zenyewe si zinaponya Mkuu?Fanya meditation utafurahia maisha yako
Hasira zote zitayeyuka hata ufanyiwe nini
Dear...mbona nakuogopa ghafla??Hapana, ulabu cjafanikiwa kutumia bali kichapo wengi wamechezea, nilinusurika kula risasi baada ya kutembeza kichapo kwa wenzangu na kazi nkapoteza, sikuishia hapo nilizingua police station ya wilaya flan kisa mmoja kaniudhi nako nilipona kula mvua za kutosha...kwa ufupi hasira zimehatarisha maisha yangu japo tukiongea huwezi amin kama ninaweza kukasirika..
Hii kitu mbaya sana Elli79
Ha ha ha ha haDear...mbona nakuogopa ghafla??
Sasa si utanichakaza sura jamani?
Ha ha jamani nilikuwa nalia mananifanya nichekeSina uzoefu na mambo haya.
ITAKUWA NI STRESS TU,KWANI UMEOLEWA? ILI TUANZE TIBA SASAhabari zenu wakuu.
ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..
kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..
wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.
nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.
asanteni
Una matatizo ya kisaikolojia,kuna mambo ukiwa mdogo hayakwenda sawa,usiogope ni matatzo ya kawaida,wataalam wa tiba hii wapo wachache nchi yetu ila ungebahatika umpate jamaa mmoja hivi ni psychologist wa International School of Tanganyika,anawahudumia watoto wapale,yuko poa sana kuna dada mmoja alimuhudumia vizur sana,au nipe muda kuna kituo kimoja hivi ntawauliza maana wana deal na psychotherapy,kama unaweza kuuliza sehem yoyote wana deal na masuala ya Psycho therapy,toa basi kaushauri kidogo kabla sijakutafuta naomba
Haziponyi bali zinatuliza kwa muda tu'Jah people'.....Hivi na kula zile sacrament za Babu Marley na zenyewe si zinaponya Mkuu?

Cheka tu kyaa,maisha ni mafupi sana kuanza kuibebesha nafsi yako mizigo ya hasira...Ha ha jamani nilikuwa nalia mananifanya nicheke
Hana madhara huyo....angekuwa na madhara_hapo sawa...!Chakwanza unapokasirika km ulikuwa umesisima basi kaa chini hasira zitapungua pombe sio suruhu ya hasira pole kwa hali hiyo dada