Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Ulishafanyiwa mambo yakukuudhi kidogo kidogo ukiwa mdogo na ukiwa mkubwa sasa moyo wako umejenga kichuguu cha hasira hata kwa vitu vidogo.

Kwanza kukasirika sana kunakuumiza wewe zaidi ya yule utakaye mpiga yeye anapata maumivu ya mwili tu ila wewe unatengeneza sumu hatima ugonjwa wa moyo. Jitahidi kusamehe mabaya unayoyakumbuka waliokufanyia watu hebu iambie nafsi yako nahitaji moyo mwepesi unaijua hakuna binadamu mkamilifu hivyo wakikosea usiwape nafasi. Nicheki inbox nikudirect toward solution
Pole mtani
 
Pole sana kwanza acha pombe dia mtoto wa kike na pombe sio vizuri .pili una marafiki wa kike aina gani? Jaribu kuwa na urafiki na watu ambao sio watumia pombe.

Pale unapokuwa moodless nenda kwa huyo rafiki na ukifika fanyeni vitu vya kukurudisha kwenye mood mnaweza kuangalia movie etc. Acha pombe dia . pole sana
Sawa kaka
 
Pole sana dada yangu, Mimi pekee ndo nina dawa ya hasira zako. Hata hivyo hatua ya kwanza kuwa karibu na Mungu kwa kusikiliza kwaya. Acha kuangalia tamthilia na Movie za kutisha, pendelea kuangalia Comedy na kusikiliza mziki wa Kufurahisha sio hii Miziki ya kuumizwa.

Tembelea marafiki, Achana na Pombe, na vileo vyote. Ukipata nafasi uwe unaenda kutembelea beach. Jitahidi kutojibizana na mtu. Jifunze kuwa Mvumilivu. Safiri kubadilisha mazingira. Kuwa mbali na watu wanaokutia hasira.

Uwe unanitumia PM nikupe ushauri nasaha zaidi.

Pole tena ndugu yangu.
Asante kaka
 
Tatizo lako ni dogo sana,ni how to control temper,ni matatizo ya kawaida,mimi nilikuwa nna tatizo la kuhis inferior,nililimaliza kwa kusoma sana inspirational books,vilinisaidia sana,mpaka leo nikiwa nna tatizo huwa sipanic sana kama before,so longer umefunguka na kuelewa kuwa hilo ni tatizo utapata solution tu lazima
 
Ulishafanyiwa mambo yakukuudhi kidogo kidogo ukiwa mdogo na ukiwa mkubwa sasa moyo wako umejenga kichuguu cha hasira hata kwa vitu vidogo.

Kwanza kukasirika sana kunakuumiza wewe zaidi ya yule utakaye mpiga yeye anapata maumivu ya mwili tu ila wewe unatengeneza sumu hatima ugonjwa wa moyo. Jitahidi kusamehe mabaya unayoyakumbuka waliokufanyia watu hebu iambie nafsi yako nahitaji moyo mwepesi unaijua hakuna binadamu mkamilifu hivyo wakikosea usiwape nafasi. Nicheki inbox nikudirect toward solution
Pole mtani
Asante mtani
 
habari zenu wakuu.

ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..

kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..

wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.

nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.

asanteni
Pole miss chagga, Jifunze kujikubali, pia ujue tu kwamba duniani mapungufu yapo, na kumbuka kuwa hapa duniani; you win some, and you lose some.
 
unaripuka kama bom. Unapiga mateke, na kunywa mbege.

Pole sana
Kuna ndugu yangu nilimigaga na nondo ndiyo huwa kama kuna issue yangu hukaa mbali anasema atalipuka huyo
 
habari zenu wakuu.

ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..

kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..

wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.

nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.

asanteni
Hapo mimba itakuwa imekwishaingia
 
Halafu me charming sana sema huwa na react kama bomu

Niwe tu mkweli nimecheka sana, eti natetemeka kama teja, nalipuka kama bomu na kupiga mateke. Btw pombe sio nzuri hasa kwa jinsia yako, na kama utaendelea hivi itakuletea matatizo makubwa sana.

Sasa bby boi umempa vip maziwa wakati ulikuwa tungi
 
Back
Top Bottom